Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Spurs kaachiwa nafac kw muda wao wnywe wanajua nafas siyo yao hahahhahaha iv man u wako nafasi ya ngap vileeee

Hivi unajua kesho mnachezea kwa majirani zetu wenye kelele nyingi??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
10552454_781810915204149_8844073486185321542_n.jpg

hahahaha ............ iteteni nafasi yenu, hongereni kw ushindi mana droo ndio ushindi kwenu!"

Grand PA

Mta edit mwaka huu mpaka mchoke!!!! Fanya mfanyavyo mafanikio ya Man U mtayasikia, as long as msimu ndio uko mwanzoni
 
Mta edit mwaka huu mpaka mchoke!!!! Fanya mfanyavyo mafanikio ya Man U mtayasikia, as long as msimu ndio uko mwanzoni

pole mkuu, ila unaweza ukahamia kwa akina costaaaaa.......... huku full shangwe, usiogope mbona hata wachezaj wanahama timu.

Grand PA
 
Haya sasa Man City kaingia race ya kumtaka Di Maria kwa 85 mil Euros
Man City wamemwambia Di Maria asubiri maana wana mpango wakumnunua
 
LVG halioni hilo, no wonder pundits wanacheeeeeka yaani katumia pesa miiingi kumnunua Di Maria, [....another 'Juan Sebastien Veron?' time will tell] badala ya kuimarisha Right back, Left Back na Centre back wa nguvu!.....
Mind you, miaka yote ManUnited tishio la mashambulizi yao yalikuwa yanaanzia Right back au left back kisha yanapanda na wingers,......ila ndio hivyo tena #BluePrint ya SAF imevurugwa!

Kama anataka kujenga team yake auze mediocre players wote wa SAF kuanzia young, carrick, fletcher, young, anderson, cleverly
 
Hi timu haiitaji di maria hata kidogo bali ina hitaji mabeki watatu midfilders wa maana watatu na striker mmoja wa maana bila hivyo mnawafata full ham na usajili wen u huo wa kukurupuka

Di maria anahtajika mtu kama valencia na young watapata kukaa pembeni coz huwa ni wagumu kuexchange number ila pili ni typical wing players tatu viwango vyao vimeshuka kwa sasa
 
Uza cleverly, young, carrick. fletcher na anderson

Hii ni mizigo

Umemsahau fellaini na smalling ni average players wether we like it or not,wether they are english or not,wether other teams wants them or not,wanapaswa waondoke waje clasic players
 
Brother, tatizo linaanzia number 6 kurudi nyuma. Hata akija, nadhani formation ya 352 haifanyi kazi, beji imetoboka na hatuna 6 iliyokamilika

Sita atafuatia ngoja aje achukue namba za average player ashley young na valencia
 
pole mkuu, ila unaweza ukahamia kwa akina costaaaaa.......... huku full shangwe, usiogope mbona hata wachezaj wanahama timu.

Grand PA

Mm ni mwanachama wa Man U kwa miaka 15 iliyopita na usafiri kwenda kuangalia live mechi kila mwaka , waweza kuangalia acc zangu 3 za fb nnazotumia kwa jina langu hilo, Sio rahisi kuhama club yenye mafanikio kuliko timu yyt Uingereza
 
pole mkuu, ila unaweza ukahamia kwa akina costaaaaa.......... huku full shangwe, usiogope mbona hata wachezaj wanahama timu.

Grand PA

mijitu mingine bwana ovyooo!! yaani mbwembwe zoote kumbe shabiki wa chelsea yaan mi nkadhan may b livepool or elsee hebu tuwekee attachment ya trophy cabinet yako kk tuone!!!
 
10552454_781810915204149_8844073486185321542_n.jpg

hahahaha ............ iteteeni nafasi yenu, hongereni kw ushindi mana droo ndio ushindi kwenu!"

Grand PA

Waonee hurume wenziyo weye khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Uza cleverly, young, carrick. fletcher na anderson

Hii ni mizigo


Young Diver naona alikuwa anafanya kazi yake leo khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
mijitu mingine bwana ovyooo!! yaani mbwembwe zoote kumbe shabiki wa chelsea yaan mi nkadhan may b livepool or elsee hebu tuwekee attachment ya trophy cabinet yako kk tuone!!!

hahahahaha ............. sisi wenyewe ha2wez kujilinganisha na timu ndogo kama nyie, nyie kajilinganisheni na akina cardif coz ndio mtakua mnagombea nao FA Cup na Carling cup!.

Msijifariji kw mafanikio ambayo yalishapita kitambo!" Ni sawa na mtu ambaye alishawah kua na hela akafilisika anajifariji kw hela alizoshawahi kuwa nazo wakat njaa inamuuma tehtehteh.........

Grand PA
 
Mm ni mwanachama wa Man U kwa miaka 15 iliyopita na usafiri kwenda kuangalia live mechi kila mwaka , waweza kuangalia acc zangu 3 za fb nnazotumia kwa jina langu hilo, Sio rahisi kuhama club yenye mafanikio kuliko timu yyt Uingereza

embu tuadisie kuangalia timu mbovu ikicheza live inakuaje?! mana wengine tumezoea kuiona ikicheza kwnye tv tu ............ hata nafasi ya 7 ni mafanikio pia!" tehatehteh ...........

Grand PA
 

Waonee hurume wenziyo weye khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee





Young Diver naona alikuwa anafanya kazi yake leo khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

tehtehtehteh .................
 
Back
Top Bottom