Pia inabidi ikumbukwe kuwa Man Utd imeingia mkabata wa £750m na Adidas kwa miaka kumi. Hii ni sawa na £75m kwa mwaka.
Lakini kuna condition moja kwenye mkataba inasema kutakuwa na reduction ya asilimia 30 sawa na karibia £20m kama watashindwa ku-qualify for the Champions League kwa misimu miwili kuanzia msimu wa 2015/16.Terms za huu mkataba zinamwongezea presha LVG.
Pia akina Glazer wanataka ku-raise £80m kwa kuuza shares na bei itakuwa nzuri kama Man Utd itakuwa inafanya vizuri on the pitch.
Kama ulijua.Hucheza japo kamari maana ulipatia
Unataka sababu gani?
sababu ya kw nn unashabikia timu mbovu! ........
Grand PA
Wachezaji mizigo wengi...LvG akifanya mzaha wa kuchekacheka na Woodward, hakika ataharibu CV yake na aina ya wachezaji waliopo...
Watu waliniponda kumtetea DM mwaka jana...ila pengine sasa nyuso zimewashuka...nilisema kwamba hata SAF atastruggle na wachezaji waliopo..
Timu gani mbovu?? Bingwa wa juzi timu mbovu?
Man U imenisikitisha. Mechi ya leo ilikuwa ya kushinda; tena kwa kishindo.
Mimi hata kuingia jukwaa hili nimeona aibu sana,maana madongo yanayotolewa humu uvumilivu unahitajika.
bingwa wa frendi mechi! au bingwa wa airtel?! ........
Grand PA
Mkuu emu na mie nichekie ligi table timu ilypo mkiani fasta fasta halafu uibandke hapa wadau wote tufahamu teteteteteteh!
View attachment 178063
Bandiko hilo hapo nimelibandika sasa sijui WHU wanahusiana vipi na hili jukwaa au ulihisi itakuwa ni hao nimewazungushia 'red'??
#pole
Mara ya mwisho wewe kuchukua EPL ni lini??