Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

***** tu huyo, ka anakamia dhidi yetu tu at the same time anashindwa kugonga hata mwamba wakicheza na Wigan what's that for?, at the end of the day sie tutabakia kuwa Mabingwa na CL ataisikia tu radioni.
Karibuni Theatre of Dreams Rivals in our 2nd leg. mtajuuuuuuuta kututambua.
 
Hii thread nahisi ishakuwa hi-jacked na Ze Gonaz, duh!!, ngoja matatizo yenu yaanze (mda wenu wakaribia), tuone huo moyo wa kuwa wageni wa thread za wakubwa sie mtakuwa nao tena. Lol!...
 
Huyu anakamia tu, baada ya muda atarudi kwenye kiwango chake halisi.

***** tu huyo, ka anakamia dhidi yetu tu at the same time anashindwa kugonga hata mwamba wakicheza na Wigan what's that for?, at the end of the day sie tutabakia kuwa Mabingwa na CL ataisikia tu radioni.
Karibuni Theatre of Dreams Rivals in our 2nd leg. mtajuuuuuuuta kututambua.

Duh! Sizitaki mbichi hiz....Tevez kafunga magoli 17 mpaka kwenye mechi zote alizocheza za Man City, kati ya hayo ni 2 tu amefunga against Manure....sasa hapa inakuwa vipi kwamba anawapania Manure peke yao na kwamba hawezi kufunga timu nyingine?! Berbaflop amefunga mangapi mpaka sasa? Acheni hizo, kubalini mlishindwa kumsign kwa sababu hamkuwa na pesa na sio kwamba jamaa sio mzuri.
 
Tevez is the best player in da world, wouldn't swap Rooney for him
 
Karibuni Theatre of Dross Rivals in our 2nd leg. mtajuuuuuuuta kututambua.
I remember the last cup match to be played there was against Leeds United, and we all know what happened!
 
Carling Cup - FA 'looking into' Neville gesture

PA Sport - Wed, 20 Jan 10:28:00 2010


The FA are "looking into" Gary Neville's one-fingered gesture towards Carlos Tevez in Tuesday night's Carling Cup semi-final at Eastlands.
0a87def89881ce18e8ba6f4ea0941985.jpg





Neville was warming up on the touchline as Tevez began his celebrations following the first-half penalty that pulled Manchester City level.

Tevez appeared to gesticulate towards Neville as if to say "shut it", in response to the Manchester United skipper's weekend comments that Sir Alex Ferguson was correct to let the Argentina star leave Old Trafford last summer.

Neville's own reply, captured on camera, was of the one-fingered variety, which triggered more taunts from Tevez.

And on Tuesday morning the FA have confirmed they will look at the matter before deciding whether to take any further action.

PA Sport
 
article-1244580-07EE00F3000005DC-42_228x343.jpg
article-1244580-07EE02C7000005DC-631_224x342.jpg


Baada ya kufunga goli Tevez anamwambia Neville Wacha kupiga ukelele
 
FERGIE-splash_971395a.jpg


Manure sasa ni zamu yao kwenda kileleni
watakapochuana na Hull City.
 
_47170973_rooney_ap466.jpg


Rooney na sherehe za kuwa kileleni. Manure 4- 0 Hull
 


On top of the show sivyo mngeenda kuchukua maiti Old Trafford khe khe khe​
 
shit!!! i hate manure but congratulations buddies... naona moto wa goli nne si wa kawaida!!
 
Duh! Sizitaki mbichi hiz....Tevez kafunga magoli 17 mpaka kwenye mechi zote alizocheza za Man City, kati ya hayo ni 2 tu amefunga against Manure....sasa hapa inakuwa vipi kwamba anawapania Manure peke yao na kwamba hawezi kufunga timu nyingine?! Berbaflop amefunga mangapi mpaka sasa? Acheni hizo, kubalini mlishindwa kumsign kwa sababu hamkuwa na pesa na sio kwamba jamaa sio mzuri.

Karibu sana Tevez OT......tuone magoli yako ya kupewa pale City Stadium kama yatajirudia. Of coz will prove s'thing out there kesho.
 
Hivi ABchaaz kagoma kabisa kuweka picha za ushindi wa ManU?
 
Hii thread nahisi ishakuwa hi-jacked na Ze Gonaz, duh!!, ngoja matatizo yenu yaanze (mda wenu wakaribia), tuone huo moyo wa kuwa wageni wa thread za wakubwa sie mtakuwa nao tena. Lol!...
Waacha hao kwanza wachezaji majeruhi wengi wameanza kurudi,muda si mrefu wataaanza kusingizia ManU wanabebwa
 
Back
Top Bottom