ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,573
![]()
Mwaka huu mtashikika tu. Je mnaweza kubadili kichwa cha habari?
Mi huwa napenda Kuiita "Man U without Ronaldo"
Mtu anayebisha arudie kucheki game za Man U hasa combination ya Rooney, Ronaldo na Teves wakivuka msitari wa nusu uwanja wakiwa wanapiga break.....
sasa kabakia Rooney peke yake, anatika huruma hasa game ya Leeds dogo alitaka kutoa chozi....