Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona hamshangilii timu yenu, au staili ya post 7th place ni kuja kushangilia ushindi na kudai kuwa timu yenu imecheza vizuri? naona Rooney amekosa penati. Anyway, mna control game ila naona mara kadhaa Valencia wameweza kutoboa beki yenu.

Kiaina fulani unashabikia/unaipenda Man Utd
 
Kiaina fulani unashabikia/unaipenda Man Utd

Sina la kufanya mida hii ndo maana nimeamua kuwaangalia mpoje. Mlikuwa mnajitapa mnacheza vizuri lakini sijaona huo mpira hadi sasa. Mimi Kuipenda Man Utd ni sawa na kupenda nyoka.Hakuna timu nayoichukia kama yenu.
 
62 min-Four changes - Keane, Cleverley, Lingard and Kagawa on. Mata, Young, Fletcher and Herrera off.
61 min-Ashley Young is playing very well indeed, clipping another excellent cross from the byline towards the six-yard box where it's taken off Chicharito's head by Otamendi's flick.
 
Naona mmekuja baada ya kufunga goli. Kabla ya hapo mlikuwa mafichoni. Nyie mmekuwa wapenzi wa kuungaunga, haya Valencia wamesawazisha rudini mafichoni
 
Sina la kufanya mida hii ndo maana nimeamua kuwaangalia mpoje. Mlikuwa mnajitapa mnacheza vizuri lakini sijaona huo mpira hadi sasa. Mimi Kuipenda Man Utd ni sawa na kupenda nyoka.Hakuna timu nayoichukia kama yenu.

Katika mechi zote zinazochezwa leo umeamua kuwaangalia Man Utd .. okay

Ni uamuzi mzuri
 
Naona mmekuja baada ya kufunga goli. Kabla ya hapo mlikuwa mafichoni. Nyie mmekuwa wapenzi wa kuungaunga, haya Valencia wamesawazisha rudini mafichoni

Umeme ulikuwa umekatika ndio maana hatukuwepo mwanzoni

Naona vifaa vinaingia sasa
 
85 MUN. 1 - 1 VAL. Wananifraisha hata usipojua nani yupo na mpira ukiskia kelele tuu jua Manywele Felain kagusa mpira....
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Nyie wawili ni Glory hunters yaani mnataka mambo yawe mazuri kila siku.Mnasahau hakuna kilicho 100% kizuri bila kupitia ugumu au ubaya.


Nimesema raha sana kuangalia Utd wakicheza Mkuu

Hamna mpira wa kubutua butua
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kiaina fulani unashabikia/unaipenda Man Utd

Nilitaka kuona mnachezaje maana mlijisifia sana mlipobeba ICC, kwa kweli sijaona mpira wa kutisha katika mechi hii. Afu umesikia analysis ya Gary Neville na matarajio yake juu ya msimu unaokuja? Jamaa hawapi nafasi yoyote Man UTD. Gary Neville yupo very realistic kama Paul Merson.
 
Nilitaka kuona mnachezaje maana mlijisifia sana mlipobeba ICC, kwa kweli sijaona mpira wa kutisha katika mechi hii. Afu umesikia analysis ya Gary Neville na matarajio yake juu ya msimu unaokuja? Jamaa hawapi nafasi yoyote Man UTD. Gary Neville yupo very realistic kama Paul Merson.

Michael Owen alivyotoa analysis yake, nyiye goons mkamponda sana..

Sasa mnachekelea predictions za Gary kwa sababu zinakandia United..
 
Nilitaka kuona mnachezaje maana mlijisifia sana mlipobeba ICC, kwa kweli sijaona mpira wa kutisha katika mechi hii. Afu umesikia analysis ya Gary Neville na matarajio yake juu ya msimu unaokuja? Jamaa hawapi nafasi yoyote Man UTD. Gary Neville yupo very realistic kama Paul Merson.


Ohh leo unamkubali "pundit" Neville sio

Kwahiyo unakubali alivyosema hapa : [h=1]Gary Neville: Chelsea will finish above Arsenal this season[/h]Former Manchester United defender Gary Neville believes that Chelsea will finish above Arsenal this season.

Kwa maana nyingine Msimu huu pia no EPL kombe..... Safi sana Gary
 
Back
Top Bottom