Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pongez kwa lvg kumteua roney kuwa copten tunategemea mambo mazur ktka kwake Viva Lvg, viva roney
 
Wajameni hivi wale 7 UP ooops 7 tourists bado hawajauzwa?
 
Tehtehteh nimekusoma sikumshangilia Lebron James na Miami Heat awe Huyo komwe Yule demu atakuwa sio Carribien atakuwa katoka Kenya au Tanzania ndio makomwe Yale mademu wanapotokea damu yake itakuwa Hivyo.

We "Potential New Owner" wa Liverpool usimseme ana komwe...

Atakuban usiingie Anfield

Half Time watu watakuwa wanaburudishwa na nyimbo ya Rude Boy lol
 
Lol Rihanna anataka kuweka dau achukuwe Anfield nzima. Chris Brown naye atakuwa njiani kubeba shares Old Trafford.

Yeah nimesikia kuhusu hizo fununu za CB Kutaka kununua hisa UTD, itakuwa wamevutiwa na uamuzi wa Miley Cyrus wa kuamua kuinunua Arsenal.
 
Yeah nimesikia kuhusu hizo fununu za CB Kutaka kununua hisa UTD, itakuwa wamevutiwa na uamuzi wa Miley Cyrus wa kuamua kuinunua Arsenal.
Wacha kuisema timu ya wapopo mwenyewe Tajiri Nigeria anasubiria kuibeba timu wewe unataka kina Rubaman wa Twerk Twerk! Lol!
 
Wacha kuisema timu ya wapopo mwenyewe Tajiri Nigeria anasubiria kuibeba timu wewe unataka kina Rubaman wa Twerk Twerk! Lol!

Mpopo kagundua atapoteza hela zake hapo Emirates....

Hivi nyie msimu huu mmesajili wachezaji wangapi? naona kila siku mnasajili mtu mpya
 
DonDonald, Pazi, mpopo alikuja na pesa za e-mails akashitikuwa lol. Wale jamaa waliochukuwa bonge la mkopo kununulia klabu kubwa wakijua mambo yakienda vibaya deni litaachwa katika jina la klabu walikuwa wajanja sana. Anyway, kina Chris Brown na Sports Agent lil'Wayne wataokoa klabu hiyo baada ya misimu miwili ijayo.
 
Mpopo kagundua atapoteza hela zake hapo Emirates....

Hivi nyie msimu huu mmesajili wachezaji wangapi? naona kila siku mnasajili mtu mpya

Hawa jamaa mwaka huu wamechafua meza kama wewe unaporudigi (Vacation)kutembelea mitaa ya kijitonyama kila december.

 
DonDonald, Pazi, mpopo alikuja na pesa za e-mails akashitikuwa lol. Wale jamaa waliochukuwa bonge la mkopo kununulia klabu kubwa wakijua mambo yakienda vibaya deni litaachwa katika jina la klabu walikuwa wajanja sana. Anyway, kina Chris Brown na Sports Agent lil'Wayne wataokoa klabu hiyo baada ya misimu miwili ijayo.
Unajuwa wazungu Weupe wengi mabilionea Wenye timu ukiwaacha biashara zao ni mabilionea wamikopo wengi likitokea balaa ni la club kweli na mabilionea madeni Yao wanaokowana ila madeni ya kuanzia Millionea kwenda chini ni stress wengine kufungwa wengine kuishia jela Mfano mwengine hizi timu zingekuwa asilimia kubwa mzamini ni mweusi timu ikatokea Kama kina Hicks na gillet au Glazers ule mkopo watu wangesema unaona watu weusi Hawana akili mpaka timu Ina madeni na deni lingeumizwa vibaya ila wazungu Weupe madeni Mabaya ila wanatetewa na wanaendelea vizuri bora muda umefika wacha tu kina Rihanna,Mnigeria, au kina P Diddy nao waje kununuwa hizi timu tuone watapewa?
 
Naona nyota ya Pep Guardiola inaanza kufifia, Man UTD wangesubiri kidogo wangempata.
 
Hahahaha lazima atapiga uzi wa MK Dons. Aibu kweli timu kubwa England inaanza kushindana na timu za mchangani wakati wenye heshima zetu tunaingia baadaye kwa ma limousine wao wanaingia kwa boda boda.
Cc: Nzi Belo Bulldog ,Prondo, DonDonald

Aliopanga hyo ratiba ni nan??
 
[h=1]United release 2014/15 squad numbers[/h] [h=2]Manchester United are pleased to announce the club's shirt numbers for the 2014/15 Barclays Premier League season.[/h]Summer signing Luke Shaw will wear the no.3 jersey while fellow new recruit Ander Herrera will wear 21. Adnan Januzaj has also adopted the no.11 shirt that Ryan Giggs famously made his own during his illustrious Reds career.
Anderson has been given the no.28 shirt, Nick Powell has taken no.22 and James Wilson has changed from no.47 to no.49.
Shirt numbers for the 2014/15 season:
1. De Gea; 2. Rafael; 3. Shaw; 4. Jones; 6. Evans; 8. Mata; 10. Rooney; 11. Januzaj; 12. Smalling; 13. Lindegaard; 14. Chicharito; 16. Carrick; 17. Nani; 18. Young; 19. Welbeck; 20. van Persie; 21. Herrera; 22. Powell; 23. Cleverley; 24. Fletcher; 25. Valencia; 26. Kagawa; 28. Anderson; 29. Zaha; 30. Varela; 31. Fellaini; 34. Lawrence; 35. Lingard; 36. Vermijl; 38. M Keane; 39. Thorpe; 40. Amos; 41. James; 42. Blackett; 45. Petrucci; 46. Rothwell; 48. W Keane; 49. Wilson; 50. Johnstone.
 
Naona unajitoa ufahamu...

Mkuu nadhani hujaielewa hiyo post nilikuwa namaanisha DonDonald atashangilia hometown team yake MK Dons na ataomba Mungu homeboys wake washinde watakapocheza na Man Utd katika Capital One Cup/Carling Cup second round
 
Back
Top Bottom