Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tumeghairi hatumuuzi nyoshi el sadaat sauti ya simba fellain hatoki mtu hapa

haya maneno kasema shabiki wa man u

#coyg
 
Ohh leo unamkubali "pundit" Neville sio

Kwahiyo unakubali alivyosema hapa : Gary Neville: Chelsea will finish above Arsenal this season

Former Manchester United defender Gary Neville believes that Chelsea will finish above Arsenal this season.

Kwa maana nyingine Msimu huu pia no EPL kombe..... Safi sana Gary

Kwa muda huu nampa asilimia 2% kuwa sahihi. Lakini tofauti kati ya Chelsea na Arsenal kwa sasa ni ndogo sana ukilinganisha Man utd na waliomaliza top 4.
 
Kwa hiyo unataka tufurahie timu ikifanya vibaya,Hayo mambo mmezoea kule kwenu

Ni kuisapoti timu kwa ubaya na uzuri. Naona siku hizi mnakuwepo humu mkishinda tu. Kuanzia jumamosi muwe mnakuja sio kusubiri mshinde ndo mnajitokeza.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Michael Owen alivyotoa analysis yake, nyiye goons mkamponda sana..

Sasa mnachekelea predictions za Gary kwa sababu zinakandia United..

Michael Owen ni moja wa pundits walio kinazi zaidi. Alishasema haya kabla ya msimu uliopita na tukamprove wrong.
 
Nzi angalia hii kutoka chanzo cha habari cha uhakika

Argentina left-back Marcos Rojo has handed in a transfer request to Sporting Lisbon and told the Portuguese club he wants to leave for Manchester United, Sky sources understand.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wayne Rooney named as Manchester United's new
captain

********
Van Gaal: "Wayne has shown a great attitude towards everything he does. I have been very impressed by his professionalism and his attitude to training and to my philosophy."

***********
Goal.com Uk
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Lol Rihanna anataka kuweka dau achukuwe Anfield nzima. Chris Brown naye atakuwa njiani kubeba shares Old Trafford.
Lol Rihanna Hana uwezo wa kununuwa labda aweke share watu wengi Wana share kwenye timu nyingi Kama Jay-Z na Brooklyn au Lebron James na LFC Kama walivyosema Complex.com Kwamba Wenye LFC Hawana fikra za kuuza na hata wakiuza Rihanna Hana pesa za kununuwa LFC kwa ujumla wenyewe kuuza wanatizama dau kubwa hata Kama dogo sio hata la kumuuzia Lebron James, Rihanna ni mshabiki tu wa LFC toka zamani Kama anao uwezo wa kununuwa sio vibaya kwake kwani wapo walibeba mkopo wa Nguvu wakanunua timu kubwa England ni kitu kinawezekana pia.
 
Official: Rooney ndio capten wetu mpya wa Manchester Utd na msaidiz wake ni Darren fletcher.....
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Rooney conned LVG to get the captaincy.Good choice for Man United and even better choice for Man United opponents.
 
Back
Top Bottom