Wiki hii kuna dalili kuna wachezaji watatua Manchester United
Yaani mpaka sasa sielewi kwanini yule wa £58.. deal halijakamilika
Yaani mpaka sasa sielewi kwanini yule wa £58.. deal halijakamilika
kwa kiwango alichoonyesha James sidhan kama Di maria atauzwa tena
Ohh leo unamkubali "pundit" Neville sio
Kwahiyo unakubali alivyosema hapa : Gary Neville: Chelsea will finish above Arsenal this season
Former Manchester United defender Gary Neville believes that Chelsea will finish above Arsenal this season.
Kwa maana nyingine Msimu huu pia no EPL kombe..... Safi sana Gary
Kwa hiyo unataka tufurahie timu ikifanya vibaya,Hayo mambo mmezoea kule kwenu
Michael Owen alivyotoa analysis yake, nyiye goons mkamponda sana..
Sasa mnachekelea predictions za Gary kwa sababu zinakandia United..
Michael Owen ni moja wa pundits walio kinazi zaidi. Alishasema haya kabla ya msimu uliopita na tukamprove wrong.
Kwa hiyo ana unazi kwa timu gani?
Tehtehteh nimekusoma sikumshangilia Lebron James na Miami Heat awe Huyo komwe Yule demu atakuwa sio Carribien atakuwa katoka Kenya au Tanzania ndio makomwe Yale mademu wanapotokea damu yake itakuwa Hivyo.Naona Pazi atakuwa ananunua CD za Rihanna tuu kuanzia sasa
Lol Rihanna Hana uwezo wa kununuwa labda aweke share watu wengi Wana share kwenye timu nyingi Kama Jay-Z na Brooklyn au Lebron James na LFC Kama walivyosema Complex.com Kwamba Wenye LFC Hawana fikra za kuuza na hata wakiuza Rihanna Hana pesa za kununuwa LFC kwa ujumla wenyewe kuuza wanatizama dau kubwa hata Kama dogo sio hata la kumuuzia Lebron James, Rihanna ni mshabiki tu wa LFC toka zamani Kama anao uwezo wa kununuwa sio vibaya kwake kwani wapo walibeba mkopo wa Nguvu wakanunua timu kubwa England ni kitu kinawezekana pia.Lol Rihanna anataka kuweka dau achukuwe Anfield nzima. Chris Brown naye atakuwa njiani kubeba shares Old Trafford.
Ni kuisapoti timu kwa ubaya na uzuri. Naona siku hizi mnakuwepo humu mkishinda tu. Kuanzia jumamosi muwe mnakuja sio kusubiri mshinde ndo mnajitokeza.