Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,154
- 17,027
Jaman wakuu huyu vidal vp?
Vidal? nyie hamwezi kupata international player kwa sasa. Mtaishia kupora wachezaji wa timu zisizocheza uefa champions league. Kama mlivyofanya kwa #Luke Shaw,(soton) herera,(bilbao) na wengine. Vidal tayari anacheza club kubwa kuliko yenu. Vidal hawezi kuuzwa kwa sasa wakati pass master, maestro, kaka mkuu Andrea Pirlo umri ushamtupa. Poleni wazee wa mtaa wa 7!