Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wamepewa dakika 6 wapate goli lingine la kubebwabebwa. Khe khe khe.
 
Congratulation Mancs for two points lost, plus red card.
 
dakika ngapi za nyongeza mnataka leo?....10 zitawatosha?

Matokeo haya ya leo yatakuwa faraja kwetu endapo tu tutashinda game ijayo! Ni mazuri kweli na mabaya kwa hawa ndugu zetu.Poleni wakuu wote wa hapa.
 
Game over Birm' 1 Man Utd 1..Ligi ya mwaka huu ya ajabu kweli kweli
 
Hawabebeki, goli wamepewa fergies extra time wamepewa lakini wapi?

tehe tehe hizo extra time zilikuwa za kutuua siyo kutusaidia. Goli hatujapewa mbona unakosa adabu wewe, tuliponyimwa penati first half mbona hukusema? Arsenal mnamatatizo sana.
 
Matokeo haya ya leo yatakuwa faraja kwetu endapo tu tutashinda game ijayo! Ni mazuri kweli na mabaya kwa hawa ndugu zetu.Poleni wakuu wote wa hapa.

Ni kweli mkuu, we'll have to take our chance if we wanna stay at top....ligi inakuwa tight sasa.
 
Matokeo haya ya leo yatakuwa faraja kwetu endapo tu tutashinda game ijayo! Ni mazuri kweli na mabaya kwa hawa ndugu zetu.Poleni wakuu wote wa hapa.

Ni kweli mkuu, we'll have to take our chance if we wanna stay at top....ligi inakuwa tight sasa.

Advantage kwenu mshukuruni Muumba kwa kushusha hii kitu na kuahirishwa mechi yenu, lakini nachelea kusema sifikirii kama mtaweza kuitumia hii nafasi, mumekuwa munamtegemea mno Drogba na Anelka, sasa Drogba hayupo na bila ya Essien japo hili halionekani mumekua na mwendo wa kusuasua.
 
Advantage kwenu mshukuruni Muumba kwa kushusha hii kitu na kuahirishwa mechi yenu, lakini nachelea kusema sifikirii kama mtaweza kuitumia hii nafasi, mumekuwa munamtegemea mno Drogba na Anelka, sasa Drogba hayupo na bila ya Essien japo hili halionekani mumekua na mwendo wa kusuasua.

Hilo siyo tatizo mbona tulishinda game ya FA bila wao kuwepo na kwa goli nyingi sana kama tano vile.Ila nakubaliana pia na wewe kuwakosa hao jamaa kwetu ni pengo ingawa tunaweza kuziba kiasi na nina imani tutaendelea kushinda maana kuna vijana wanatafuta namba pale lazima wataonesha uwezo tu.
 
Ligi kuu this season kichomiiii kichomiiiii, najua twaweza kutetea ubungwa ila sipendi tuigeuze ligi yetu ka' ya Scotland (Celtic) au Lyon kule Ligue One, ila mkianza tu kutusemea mbovu, we will haunt you guys!
 
Ligi kuu this season kichomiiii kichomiiiii, najua twaweza kutetea ubungwa ila sipendi tuigeuze ligi yetu ka' ya Scotland (Celtic) au Lyon kule Ligue One, ila mkianza tu kutusemea mbovu, we will haunt you guys!
Hizo ni dalili kwamba umehisi itakuwa ngumu kwenu kutetea ubingwa ndio maana unaanza kuja na visingizio....be brave, ligi bado mbichi😱.
 
Kwi kwi kwi kwikwikwi kwi kwi kwi kwikwikwi. Usilie mkuu Unaona Liverfools hawajachukua hiki kikombe sijui toka mwaka gani. Hata watoto wameanza kupata wajukuu.
 
Kwi kwi kwi kwikwikwi kwi kwi kwi kwikwikwi. Usilie mkuu Unaona Liverfools hawajachukua hiki kikombe sijui toka mwaka gani. Hata watoto wameanza kupata wajukuu.

Umeanza........
 
_47082246_becks766.jpg



Huyu jamaa alipoamua kuvaa chupi hadharani bado ana usongo na Fergi.
 
Waungwana tuna hali ngumu..
Manchester United confirmed on Monday they will look to raise £500 million through bonds to restructure their debts.

The Premier League champions have been struggling under interest payments due on the debts which the Glazers ran up when borrowing in order to purchase the club. In the year up to June 30, 2009, they had to pay out £41.9 million in interest payments.

Although the club did record a pre-tax profit of £48.2 million, that figure includes the £80 million raised from the sale of Cristiano Ronaldo to Real Madrid. Without the sale of Ronaldo, the Red Devils would have been reporting a loss of £31.8 million. Turnover was up in the financial year, from £80.4 million in 2008 to £91.3 million.

The bond will be used to repay the "senior secured notes". It was thought that the Glazers would be looking to finance the £175 million worth of payment-in-kind notes that are currently attracting 14.25% interest. However, this is considered personal debt and will not be refinanced through bonds.

"Manchester United today announced that it will be seeking to raise approximately £500 million aggregate principal amount from an offering of senior secured notes due 2017,'' said a United statement. "The notes, whose proceeds will be used to refinance existing debt secured against the club, will be issued by MU Finance plc.''

But the Glazers will not be selling the club and intend to use the money saved from restructuring the debt to ensure significant money is available to Sir Alex Ferguson to spend in the transfer market.
ESPN Soccernet has been assured that the bond is not a prelude to a sale or in any way a manouvre to attract a buyer. The bond should attract institutions and City investors which will enable the club to repay at a stable and affordable rate of interest.

However, ESPNsoccernet has been informed by City experts, that this is by no means an attempt to find a new owner, or to sell the club, that is definitely not on the agenda.

Despite the world being in recession, Manchester United are the most profitable club in the world at a time when clubs like Manchester City and Chelsea are recording massive losses. But fans remain concerned about the bottom line without the Ronaldo cash.

The Glazers message is clear - none of the clubs figures, nor their desire to reshape their loans of £509 million impacts on manager Sir Alex Fergusons ability to reinvest in the transfer market So far Sir Alex has stated it is because he cannot find the players of the right quality and price, rather than it being a question of not having the money
 
ROOSPLASH_964378a.jpg



Mwaka huu mtashikika tu. Je mnaweza kubadili kichwa cha habari?
 
Back
Top Bottom