Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lazima ukubali kuwa siku hizi mpira bila pesa utakuwa msindikizaji na,hapo ndio tofauti ya timu kubwa na ndogo Newcastle ni ngumu sana kununua wachezaji wa 20 mil na ndio maana ni ngumu kwao kupigania ubingwa,sioni tatizo kwa timu kama Manu kumnunua Shaw mwenye miaka 18 kwa hiyo bei,dogo anaweza kucheza miaka 15

Tatizo Belo, mmemtumia HELA nyingi kwa mchezaji wa kiwango cha kati!!!
 
Hapo ndo nilikuwa napataka!!

i think nimeshaandika hapo juu kuhusu suala la Caroll kununuliwa £35million kipindi kile, na nikasema liverpool walikuwa so desperate kama Manure mlivyo sasa!

tukubaliane kuwa kutoa £27mill kwa Mchezaji average aina ya Luke Shaw ni kupagawa, Ni kama liverpool walivyotoa £35million kwa Caroll, kule kulikuwa ni kupagawa kaka!

Ujue Mkuu Belo, kama upo kwenye hizi ishu za mpira, utakubaliana na mimi kuwa Rumours za magazet huwa zinadanganya sana, mpaka imefikia kipindi Watu wanasubiria kuona Skysports wanasema nn!!..So sidhani kama Chelshit walikuwa na STRONG interest yoyote kwa luke shaw achilia mbali kupeleka Inquiry kuhusu huyo mchezaji, Katika Clubs ambazo huwa hazihestate zikimtaka mchezaji basi ni Chelshit, hilo wote tunalijua!!!..na mourinho asingekubal kutoa £27million kwa aina ya mchezaji kama Luke Shaw!!!

Na kwahyo hata kama Man city au Chelsea wanahela, wangeenda kuspend £27million kwa Fellain kama mlivyofanya???

Afu pia unatakiwa kujua tricks za Maagent ambazao huwa wanazicheza, mfano ni lile suala la Ronaldo kurudi Manure, Au ishu ya Januzaj baada ya kuchomoza tukaanza kusikia anatakiwa na Barca, Juventus, Bayern and blah blah blah, nadhan mkampa mkataba ambao unamfanya kuwa mchezaj mdg anaelipwa hela nying zaid, Sidhan kama kina messi, aguero, ronaldo, Wilshere, walcot, pedro na wengneo walilipwa kama anavyolipwa sahv januzaj..hizo ni tricks za Agents, na hasa alishajua kuwa mlivyokuwa mmepagawa msingeweza kumuachia bwana mdogo!!!

Manure, Sahiv mtapigwa sana Sokoni!

Kwanza niambie kwa kigezo gani unasema Shaw ni average?
Hata kama ni average kwa umri wake naamini atakuja kuwa mchezaji mzuri

Issue ya Januzaj Manu walikuwa sawa kumpa mkataba baada ya kufanya mistake kwa Pogba huko nyuma nafikiri unajua thamani yake now si chini ya 40 mil pound

Man City wamevunja sheria ya FFP so usitegemee kama watamwaga pesa ovyo kama walivyofanya huko nyuma,pamoja na kuwa na Aguero na Dzeko still waliwanunua Jovetic na Negredo na wamewasaidia kubeba ubingwa.Chelsea nao lazima wauze ndio wanunue ndio maana kuna posibility kuwauza Luiz,Mikel,Tores,Ba,Lukaku ndio wanunue

Enzi za kina Messi,Ronaldo zilikuwa tofauti na sasa ndio maana Madrid na Barca wamehakikisha wanawaongezea mikataba na mishahara almost kila baada ya misimu 2 ili wasiondoke

Hivi unataka hizi hela zinazoingizwa na klabu zote ziende kwa shareholders?
 
Tatizo Belo, mmemtumia HELA nyingi kwa mchezaji wa kiwango cha kati!!!

Hayahaya yalisemwa walivyonunuliwa Rio Carick,de Gea,RVP ,Mata.Then kwa financial status ya United hiyo hela sio nyingi labda Arsenal,Chelsea au Liverpool ndio hela nyingi
 
Kwanza niambie kwa kigezo gani unasema Shaw ni average?
Hata kama ni average kwa umri wake naamini atakuja kuwa mchezaji mzuri

Issue ya Januzaj Manu walikuwa sawa kumpa mkataba baada ya kufanya mistake kwa Pogba huko nyuma nafikiri unajua thamani yake now si chini ya 40 mil pound

Man City wamevunja sheria ya FFP so usitegemee kama watamwaga pesa ovyo kama walivyofanya huko nyuma,pamoja na kuwa na Aguero na Dzeko still waliwanunua Jovetic na Negredo na wamewasaidia kubeba ubingwa.Chelsea nao lazima wauze ndio wanunue ndio maana kuna posibility kuwauza Luiz,Mikel,Tores,Ba,Lukaku ndio wanunue

Enzi za kina Messi,Ronaldo zilikuwa tofauti na sasa ndio maana Madrid na Barca wamehakikisha wanawaongezea mikataba na mishahara almost kila baada ya misimu 2 ili wasiondoke

Hivi unataka hizi hela zinazoingizwa na klabu zote ziende kwa shareholders?

Belo, Unatetea kwasababu we ni shabiki wa Manure!

Hicho kiasi kingetolewa na Team nyingne Kama Arsenal, Liverpool, chelsea, mngekuwa wa kwanza hapa kupiga makelele kuwa hizo team zimeOverspend, lakini kwa kuwa ni Manure hamtaki kukubaliana na huo ukweli kuwa £27mill ni nyingi kwa Luke shaw!!

Afu kwa sheria ya Fair play katika usajili, nadhani kila team itauza wachezaji wake kiasi, ili kununua wengine!!!
 
Hayahaya yalisemwa walivyonunuliwa Rio Carick,de Gea,RVP ,Mata.Then kwa financial status ya United hiyo hela sio nyingi labda Arsenal,Chelsea au Liverpool ndio hela nyingi

Ukiachana na Carrick, hao wengine wote walikuwa ni TOP CLASS wakati mnawasign..

so kama walilalamika, ni wengine!!!

Lakini kwa Luke Shaw, mmeOverspend, hou ndo ukweli!!!
 
THANK YOU RiO FERDINAND........UR A LEGEND!!!

Premier League: Rio Ferdinand leaving Manchester United this summer








4





rio-ferdinand-manchester-united-fulham_3078233.jpg


Rio Ferdinand: No new deal for United stalwart








Rio Ferdinand has made the decision to leave Manchester United this summer after 12 years at Old Trafford.
Ferdinand made 454 appearances for United, winning six Premier League titles, the 2008 UEFA Champions League and FIFA Club World Cup, two League Cups and five Charity/Community Shields.
But his playing time had been reduced over the last couple of seasons because of injury and the emergence of Phil Jones, Chris Smalling and Jonny Evans.
His contract was due to expire at the end of the season and the decision has been made not to extend it.

486628749_3130878.jpg
"I have thought long and hard over the last few months about my future and, after 12 fantastic years playing for what I regard as the best club in the world, I have decided the time is right for me to move on"

Rio Ferdinand



"I have thought long and hard over the last few months about my future and, after 12 fantastic years playing for what I regard as the best club in the world, I have decided the time is right for me to move on," Ferdinand said.
"I joined Manchester United in the hope of winning trophies, and never in my wildest dreams could I have imagined how successful we would be during my time here.

"There have been so many highlights, playing alongside some great players who have become good friends, winning my first Premier League title and also that fantastic night in Moscow are memories that I will cherish forever.

"Circumstances didn't allow for me to say goodbye the way I would have liked but I'd like to take this opportunity to thank my team-mates, staff, the club and the fans for an unbelievable 12 years that I'll never forget. Winning trophies I dreamed about as a kid came true at this great club.
"I am feeling fit and healthy, ready for a new challenge and looking forward to whatever the future holds for me."
 
Rio Ferdinand's Manchester United career is over after the veteran defender was informed that he will not be offered a new contract.
It is understood that Old Trafford chief Ed Woodward broke the news to Ferdinand, 35, in the dressing-room following Sunday's final game at Southampton. Several people were present at the time and expressed surprise that Woodward chose to bring down the curtain on Ferdinand's 12-year stay at United in such a manner.
 
Rio Ferdinand's Manchester United career is over after the veteran defender was informed that he will not be offered a new contract.
It is understood that Old Trafford chief Ed Woodward broke the news to Ferdinand, 35, in the dressing-room following Sunday's final game at Southampton. Several people were present at the time and expressed surprise that Woodward chose to bring down the curtain on Ferdinand's 12-year stay at United in such a manner.
4E5DD96D44CEBC6981E724715C919.jpg


once a legend alwayss a legend
 
Belo, Unatetea kwasababu we ni shabiki wa Manure!

Hicho kiasi kingetolewa na Team nyingne Kama Arsenal, Liverpool, chelsea, mngekuwa wa kwanza hapa kupiga makelele kuwa hizo team zimeOverspend, lakini kwa kuwa ni Manure hamtaki kukubaliana na huo ukweli kuwa £27mill ni nyingi kwa Luke shaw!!

Afu kwa sheria ya Fair play katika usajili, nadhani kila team itauza wachezaji wake kiasi, ili kununua wengine!!!
klabu za mpira zimeingia wazimu,na hfu ya kumkosa mchezaji hupelekea gharama ya kumnunua kuwa kubwa,ila mimi naamkni duniani hamna mchezaji mwenye thamani ya pound m 50 mwisho kabisa 40 m,huo nimmtizamoa wangu ilakwa hali ilivyo pressure ya kumkosa mchezaji,uhitajia wa huduma husikaya mchezaji,uhuni wa agent wa mchezaji na hata kutokuwa tayari kwa klabu husika kumuuza mchezaji hupelekea thamni kupanda ndo maana vilabu vinakuwa tayari kulipa gharma yoyote
 
klabu za mpira zimeingia wazimu,na hfu ya kumkosa mchezaji hupelekea gharama ya kumnunua kuwa kubwa,ila mimi naamkni duniani hamna mchezaji mwenye thamani ya pound m 50 mwisho kabisa 40 m,huo nimmtizamoa wangu ilakwa hali ilivyo pressure ya kumkosa mchezaji,uhitajia wa huduma husikaya mchezaji,uhuni wa agent wa mchezaji na hata kutokuwa tayari kwa klabu husika kumuuza mchezaji hupelekea thamni kupanda ndo maana vilabu vinakuwa tayari kulipa gharma yoyote

Kuna wachezaji wana value above 50 mil value ya mchezaji inategemea na kipaji,umri,afya na jinsi atakavyoingiza pesa nje ya uwanja CR7,Messi,Neymar ni wachezaji ambao ukiacha uwezo wao uwanjani wanaweza kuingiza mapato makubwa kwa klabu nje ya uwanja.Ni kweli agent wanasababisha bei kupanda but wachezaji wanaziingizia klabu hela nyingi sana hiyo faida lazima irudi kuinvest kwenye timu ili timu iendelee kufanya vizuri(kupata pesa)
Rio,Rooney walinunuliwa € 27 mil,€29 mil miaka 10 na 12 iliyopita so nashangaa now € 27m kwa beki wa miaka 18 inaonekana nyingi
 
Kuna wachezaji wana value above 50 mil value ya mchezaji inategemea na kipaji,umri,afya na jinsi atakavyoingiza pesa nje ya uwanja CR7,Messi,Neymar ni wachezaji ambao ukiacha uwezo wao uwanjani wanaweza kuingiza mapato makubwa kwa klabu nje ya uwanja.Ni kweli agent wanasababisha bei kupanda but wachezaji wanaziingizia klabu hela nyingi sana hiyo faida lazima irudi kuinvest kwenye timu ili timu iendelee kufanya vizuri(kupata pesa)
Rio,Rooney walinunuliwa € 27 mil,€29 mil miaka 10 na 12 iliyopita so nashangaa now € 27m kwa beki wa miaka 18 inaonekana nyingi
hiyo hela ambayo mchezaji anaiingizia klabu ndo investment yenyewe hiyo klabu imewekeza so faida ni halali yao,nilichomaanisha kusema kwenye post yangu ya juu kwamba hizi figure ni nyingi mno hakuna mchezaji ambayo anastahili malipo hayo duniani ya pound m 50 hata kama klabu kuna jezi wanauza n.k just try to think pound m 50 ni zaidi ya bilioni 70 za kitanzania,hivi kweli kuna mtu anafikia thamani hiyo?? kwangu mimi ni big no,though kwa man u kwa walichofanya siwabezi coz ndo soko la usajili linavyotaka.
 
Back
Top Bottom