Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

......Coming to the end of the EPL season,
will miss you guys,.....

Muwe na mapumziko mema mpaka tutapokutana tena kwenye banters za transfers,
pre-seasons na New 2014/2015 EPL season.

Thanks for the fun kamanda Nzi, Belo, Mndengereko, mfarisayo et al...
tukutane tena siku si nyingi zijazo, #MwenyeziMunguAkipenda ,

Amen.
pamoja sana mkuu,tutakutana wakati wa world cup.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
bidding war hio ndio inapandisha bei...mchezaji akishagombewa na timu kubwa zaidi ya moja bei inapanda hata akitoka portugal,greece....huyu dogo man utd,chelsea,liverpool wote wanamtaka.

Lakin generally most of english players are overpriced
 
Ndugu zetu naona mmepagawa saaana..

How can you Bid £27million kwa mchezaji kama Luke shaw???

Yale yale ya Fellain!!!!

Kupigwa kunaendelea!!!!

Damn!!
 
bidding war hio ndio inapandisha bei...mchezaji akishagombewa na timu kubwa zaidi ya moja bei inapanda hata akitoka portugal,greece....huyu dogo man utd,chelsea,liverpool wote wanamtaka.

Nope!!!

Sidhani kama kuna team nyingne ambayo ilionyesha interest kubwa kwa Luke Shaw!!!

Manure mpo so desperate ndo maana, agents na hizi clubs zingne wanatumia nafasi hiyo kuwapiga Hela, Mfano ni kipindi kile Liverpool kwa Andy Caroll..

Seriously!!!..hata Man City au Chelsea wasingetoa £27mill kwa Luke shaw..He's just average!!
 
Nope!!!

Sidhani kama kuna team nyingne ambayo ilionyesha interest kubwa kwa Luke Shaw!!!

Manure mpo so desperate ndo maana, agents na hizi clubs zingne wanatumia nafasi hiyo kuwapiga Hela, Mfano ni kipindi kile Liverpool kwa Andy Caroll..

Seriously!!!..hata Man City au Chelsea wasingetoa £27mill kwa Luke shaw..He's just average!!

soon nitaanza kuignore comments zako. uko kishabiki zaidi.

Luke Shaw set for Southampton talks amid Chelsea and Manchester United interest | Mail Online


 
Thats Dail mail dude..

nmepost my comment hapa bcoz skysport ndo wamereport kuhusu hiyo Bid!!!

kama Daily mail, mirror au metro, wangekuwa wakwanza kuandika kuhusu hiyo bid..wala nisingecomment kitu hapa!!!

So bcoz, ni Dailry mail, unaamini kuwa Man city wana strong interest na Messi???

Au Juzikat Metro walivyoreport kuwa Madrid, chelsea, Man city na Manchester united wote wana interest na Suarez!!!!!..of all the clubs ou there, Manure iwe na interest na Mchezaj wa Liverpool???..haziuziani wachezaji!!!

The point hapa ni kwamba, zaidi ya Manure, hakuna any other big club iliyopeleka inquiries kuhusu Upatikanaji wa Luke shaw pale southampton!

#Fact .
 
Ndugu zetu naona mmepagawa saaana..

How can you Bid £27million kwa mchezaji kama Luke shaw???

Yale yale ya Fellain!!!!

Kupigwa kunaendelea!!!!

Damn!!

Hakuna Football bila pesa siku hizi otherwise utaendelea kuwa msindikizaji,Man United ni klabu kubwa na ina hela ya kununua wachezaji nashangaa hizo pauni mil 27 unaziona nyingi,labda kwa Liverpool zinaweza kuonekana nyingi
Kumbuka miaka 10 iliyopita United walimnunua Rooney pauni 29 now kila mtu anajua kazi ya Rooney,sijamuangalia sana Shaw but kwa umri wake ameweza kucheza kikosi cha kwanza msimu wote,i hope anaweza cheza misimu 15.United walianza kutafuta left back tangu msimu uliopita Baines alikuwa ndio option Everton wakapanda dau so how kuspend 20 mil kwa mchezaji mwenye miaka 28 while unaweza pata mwenye miaka 18 kwa mil 27
 
Hakuna Football bila pesa siku hizi otherwise utaendelea kuwa msindikizaji,Man United ni klabu kubwa na ina hela ya kununua wachezaji nashangaa hizo pauni mil 27 unaziona nyingi,labda kwa Liverpool zinaweza kuonekana nyingi
Kumbuka miaka 10 iliyopita United walimnunua Rooney pauni 29 now kila mtu anajua kazi ya Rooney,sijamuangalia sana Shaw but kwa umri wake ameweza kucheza kikosi cha kwanza msimu wote,i hope anaweza cheza misimu 15.United walianza kutafuta left back tangu msimu uliopita Baines alikuwa ndio option Everton wakapanda dau so how kuspend 20 mil kwa mchezaji mwenye miaka 28 while unaweza pata mwenye miaka 18 kwa mil 27

£27million ni HELA kubwa sana kwa mchezaji aina ya Luke shaw!!!
 
Thats Dail mail dude..

nmepost my comment hapa bcoz skysport ndo wamereport kuhusu hiyo Bid!!!

kama Daily mail, mirror au metro, wangekuwa wakwanza kuandika kuhusu hiyo bid..wala nisingecomment kitu hapa!!!

So bcoz, ni Dailry mail, unaamini kuwa Man city wana strong interest na Messi???

Au Juzikat Metro walivyoreport kuwa Madrid, chelsea, Man city na Manchester united wote wana interest na Suarez!!!!!..of all the clubs ou there, Manure iwe na interest na Mchezaj wa Liverpool???..haziuziani wachezaji!!!

The point hapa ni kwamba, zaidi ya Manure, hakuna any other big club iliyopeleka inquiries kuhusu Upatikanaji wa Luke shaw pale southampton!

#Fact .

Chelsea walikuwa wanamtaka Shaw na dogo ni mshabiki Chelsea,alitoa masharti lazima ahakikishiwe namba ndio ugumu ukatokea.Kama unamtaka mchezaji huna haja ya kusubiri kuona timu gani inamtaka hicho ndio kimewaponza Liverpool mkawakosa Mikhitarian na Salah
 
£27million ni HELA kubwa sana kwa mchezaji aina ya Luke shaw!!!

Henderson,Downing,Carol mliwanunua bei gani?
Kwa Liverpool inaweza kuwa kubwa sana but sio Man United.Umesikia Rodgers anamtaka Lalana kwa pauni mil 20 na hiyo ni ndogo?
 
Henderson,Downing,Carol mliwanunua bei gani?
Kwa Liverpool inaweza kuwa kubwa sana but sio Man United.Umesikia Rodgers anamtaka Lalana kwa pauni mil 20 na hiyo ni ndogo?

Hapo ndo nilikuwa napataka!!

i think nimeshaandika hapo juu kuhusu suala la Caroll kununuliwa £35million kipindi kile, na nikasema liverpool walikuwa so desperate kama Manure mlivyo sasa!

tukubaliane kuwa kutoa £27mill kwa Mchezaji average aina ya Luke Shaw ni kupagawa, Ni kama liverpool walivyotoa £35million kwa Caroll, kule kulikuwa ni kupagawa kaka!

Ujue Mkuu Belo, kama upo kwenye hizi ishu za mpira, utakubaliana na mimi kuwa Rumours za magazet huwa zinadanganya sana, mpaka imefikia kipindi Watu wanasubiria kuona Skysports wanasema nn!!..So sidhani kama Chelshit walikuwa na STRONG interest yoyote kwa luke shaw achilia mbali kupeleka Inquiry kuhusu huyo mchezaji, Katika Clubs ambazo huwa hazihestate zikimtaka mchezaji basi ni Chelshit, hilo wote tunalijua!!!..na mourinho asingekubal kutoa £27million kwa aina ya mchezaji kama Luke Shaw!!!

Na kwahyo hata kama Man city au Chelsea wanahela, wangeenda kuspend £27million kwa Fellain kama mlivyofanya???

Afu pia unatakiwa kujua tricks za Maagent ambazao huwa wanazicheza, mfano ni lile suala la Ronaldo kurudi Manure, Au ishu ya Januzaj baada ya kuchomoza tukaanza kusikia anatakiwa na Barca, Juventus, Bayern and blah blah blah, nadhan mkampa mkataba ambao unamfanya kuwa mchezaj mdg anaelipwa hela nying zaid, Sidhan kama kina messi, aguero, ronaldo, Wilshere, walcot, pedro na wengneo walilipwa kama anavyolipwa sahv januzaj..hizo ni tricks za Agents, na hasa alishajua kuwa mlivyokuwa mmepagawa msingeweza kumuachia bwana mdogo!!!

Manure, Sahiv mtapigwa sana Sokoni!
 
Chelsea walikuwa wanamtaka Shaw na dogo ni mshabiki Chelsea,alitoa masharti lazima ahakikishiwe namba ndio ugumu ukatokea.Kama unamtaka mchezaji huna haja ya kusubiri kuona timu gani inamtaka hicho ndio kimewaponza Liverpool mkawakosa Mikhitarian na Salah

MK, wanted UCL football, We couldn't offer that!!!
 
Henderson,Downing,Carol mliwanunua bei gani?
Kwa Liverpool inaweza kuwa kubwa sana but sio Man United.Umesikia Rodgers anamtaka Lalana kwa pauni mil 20 na hiyo ni ndogo?

Na mimi ndo nashangaa, inakuwaje Mchezaji aina ya Lallana auzwe £20mill na Luke Shaw auzwe £27mill..ni sawasawa umuuze Oscar 20mill afu ivanovic ukamuuze 27million!!!!
 
Na mimi ndo nashangaa, inakuwaje Mchezaji aina ya Lallana auzwe £20mill na Luke Shaw auzwe £27mill..ni sawasawa umuuze Oscar 20mill afu ivanovic ukamuuze 27million!!!!

Lazima ukubali kuwa siku hizi mpira bila pesa utakuwa msindikizaji na,hapo ndio tofauti ya timu kubwa na ndogo Newcastle ni ngumu sana kununua wachezaji wa 20 mil na ndio maana ni ngumu kwao kupigania ubingwa,sioni tatizo kwa timu kama Manu kumnunua Shaw mwenye miaka 18 kwa hiyo bei,dogo anaweza kucheza miaka 15
 
Back
Top Bottom