Thats Dail mail dude..
nmepost my comment hapa bcoz skysport ndo wamereport kuhusu hiyo Bid!!!
kama Daily mail, mirror au metro, wangekuwa wakwanza kuandika kuhusu hiyo bid..wala nisingecomment kitu hapa!!!
So bcoz, ni Dailry mail, unaamini kuwa Man city wana strong interest na Messi???
Au Juzikat Metro walivyoreport kuwa Madrid, chelsea, Man city na Manchester united wote wana interest na Suarez!!!!!..of all the clubs ou there, Manure iwe na interest na Mchezaj wa Liverpool???..haziuziani wachezaji!!!
The point hapa ni kwamba, zaidi ya Manure, hakuna any other big club iliyopeleka inquiries kuhusu Upatikanaji wa Luke shaw pale southampton!
#Fact .