Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Belo at al mbona muko kimya hapa jamvini? Si mumeshinda Aisee.
Tuko likizo, tunakula pilau kwanza ,hao ikifika February tusharudi kileleniBelo at al mbona muko kimya hapa jamvini? Si mumeshinda Aisee.
Si unajua tunamkimbiza Bluz? Tumeamua kukikmbiza kimyakimya.....
sasa bado point 2 tu...na mabeki wetu wameanza kurudi.
Heheh naona watemi wa Chelsea tumewatungua 5-0 tena.
Mmh! mmejitahidi, lakini hamjafikia rekodi yetu. 9 - 1 Si mchezo!Heheh naona watemi wa Chelsea tumewatungua 5-0 tena.