Kimya sana humu!! Anyway..hii ndiyo staring XI De Gea, Jones, Ferdinand, Vidic, Evra, Nani, Carrick, Fletcher, Young, Mata, Hernandez Subs: RvP, Smalling, Januzaj, Valencia, Welbeck Sasa ni dakika ya 24, bado 0-0
Mkuu Inzi tuwape heshima yao wako solid sana at the back hawafanyi makosa kabisa...maybe ndio maana tumeshindwa kuwafungua...ila nadhani second half watachoka tu