Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Moyes kafukuzwa Roy Keane kachukuwa nafasi. Manchester Utd wameamua kuendeleza tradition

he has 100 -1 Odds kuchukua hiyo position, bora ungesema Gerry Neville 33 - 1,....
 
Tuwekee source Mkuu

ImageUploadedByJamiiForums1398113345.477010.jpg
 
tatizo ManU hawajitumi/hawakabi kabisa wakipoteza mipira na wawapo uwanjani.........ukiangalia timu kama Liverpool, ManCity, Barcelona, Bayern Munich....yaani wanajituma sana wawapo uwanjani......
 
Dah kati ya top 6 ni Arsenal pekee ndo haijafaidika kutoka kwa reign ya Moyes, naomba The Glazers wasubiri na sisi tufaidi ndo wamfukuze.
 
tatizo ManU hawajitumi/hawakabi kabisa wakipoteza mipira na wawapo uwanjani.........ukiangalia timu kama Liverpool, ManCity, Barcelona, Bayern Munich....yaani wanajituma sana wawapo uwanjani......

Arsenal pia wanajituma sana.
 
.....duhhhh, kumekucha na media zote MOYES, MOYES, MOYES....#TheUnwantedOne !
have faith people, have mercy....Get rid of Glazer family, #StandByYourManager !!!

Dhambi ya kufukuza haiishii hapa,....hata ajaye mtamfukuza tu!
Wenzenu Chelsea si mnawaona? #Mourinho amekalia kuti kavu pamoja na
mafanikio yote ya 'kununua' waliyoyapata...

MERCI MERCI MERCI Comrade Nzi, Belo...et al...!
 
Last edited by a moderator:
.....duhhhh, kumekucha na media zote MOYES, MOYES, MOYES....#TheUnwantedOne !
have faith people, have mercy....Get rid of Glazer family, #StandByYourManager !!!

Dhambi ya kufukuza haiishii hapa,....hata ajaye mtamfukuza tu!
Wenzenu Chelsea si mnawaona? #Mourinho amekalia kuti kavu pamoja na
mafanikio yote ya 'kununua' waliyoyapata...

MERCI MERCI MERCI Comrade Nzi, Belo...et al...!

Come again sir??!
 
Last edited by a moderator:
.....duhhhh, kumekucha na media zote MOYES, MOYES, MOYES....#TheUnwantedOne !
have faith people, have mercy....Get rid of Glazer family, #StandByYourManager !!!

Dhambi ya kufukuza haiishii hapa,....hata ajaye mtamfukuza tu!
Wenzenu Chelsea si mnawaona? #Mourinho amekalia kuti kavu pamoja na
mafanikio yote ya 'kununua' waliyoyapata...

MERCI MERCI MERCI Comrade Nzi, Belo...et al...!

sometimes media inapotosha sana..
unajua kwa miaka zaidi ya kumi tokea Abramovich aichukue chelsea Madrid na Barcelona zinetumia hela nyingi zaidi kwenye usajili kiliko chelsea,
madrid ni £831m (€1,000m) hapa hatujajumlisha za kumchukua Bale,
Barcelona ni £593m (€713m) hapa hatujaweka za kumchukua Neymar ambaye ni inasemekana ni ghali kuliko huyo Bale wakati Chelsea ni £540m (€650m)
lakini huwezi kumsikia mtu akisema Barcelona inanunua mafanikio.
na timu zote hizo zimebadili zaidi ya makocha wa 3 kwa ,kwa aina ya mpira wa sasa km unataka mafaniko na kubakia kuwa Timu bora zaidi ULAYA kwa kipindi kirefu lazima usajili sana na ubadili makocha km ukiona hawatoleta mafanikio unayoyataka kwa muda unaoutaka
 
Last edited by a moderator:
Dah Noma kashatimuliwa.... Very unjust for football. Ndo tatizo la timu kuendeshwa na Wamarekani hawajui soka linavyokwenda. Haya atakayekuja naye atapewa maximum 2 yrs.Cry for Moyes
 
sometimes media inapotosha sana..
unajua kwa miaka zaidi ya kumi tokea Abramovich aichukue chelsea Madrid na Barcelona zinetumia hela nyingi zaidi kwenye usajili kiliko chelsea,
madrid ni £831m (€1,000m) hapa hatujajumlisha za kumchukua Bale,
Barcelona ni £593m (€713m) hapa hatujaweka za kumchukua Neymar ambaye ni inasemekana ni ghali kuliko huyo Bale wakati Chelsea ni £540m (€650m)

:A S 13::A S 13::A S 13:......#TimeOut kiongozi,
tupo msibani hapa tunaomboleza KUFUKUZWA baba Lauren.
Hayo mambo ya kununua tutayajadili baadae kwenye thread yenu.

TOO SAD,...
TOO HARSH...
TOO SOON....!!!
 
:A S 13::A S 13::A S 13:......#TimeOut kiongozi,
tupo msibani hapa tunaomboleza KUFUKUZWA baba Lauren.
Hayo mambo ya kununua tutayajadili baadae kwenye thread yenu.

TOO SAD,...
TOO HARSH...
TOO SOON....!!!

Too sooon,...hah hah ..ulitaka akae mpaka lini?
 
Nadhani atakayekuwa na hudhuni ya hii news ni Nzi pekee na maybe Belo. Kuanzia leo Moyes Out Brigade kina DonDonald, Mndengereko nk watamwaga party hapa kushangilia maamuzi ya Glazers. Anyway najua Big Sam atachukuwa timu maana uwezo wake ni mkubwa kuliko kina Klopp, Van Gaal waliotajwa pia ni Mbritish mwenzao.
#hireBigSam
 
Too sooon,...hah hah ..ulitaka akae mpaka lini?

...Yaani ule mkataba wa miaka sita ilikuwa ni upuuzi tu?
aaah kiongozi, usinambie hujui maana ya contract.
Sir Fergie kumpendekeza Moyes awe mrithi wake tayari alishaona mbali kwamba
Man U inahitaji LongTerm Manager...

Kama angeona Ryan Giggs anafaa, angempendekeza...au Aspiring manager mwingine yeyote.
Tatizo letu sie New Generation tumeweka mbele Vikombe tuuu, sijui bingwa wa EPL, sijui CL...tunasahau
hizi team zina traditions zao,.....Man United since 1902, ndani ya Old Trafford tangu 1910, leo hii mnawauzia GLAZER family wanaua tradition...

Mtamkumbuka #SirFergie na mrithi wake aka #TheChoosenOne....
Hawa Man United dhambi hii ya kumfukuza Manager itaendelea kuwatafuna
kama Chelsea inavyowatafuna pamoja na mafanikio waliyokuwa nayo...

Fergie aliwaapa wosia, "SUPPORT YOUR MANAGER!'.....mtamkumbuka,
#MburukengeNyie !....:suspicious:
 
....kimenuka!.....WESHAMFUKUZA AISEE,
RYAN GIGGS ndio manager wao wa muda...(Caretaker)

Hahahah hii dhambi itawatafuna Man U. Ngoja nao wasote kama na sisi tulivosota tangu 1990.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom