999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 910
- 1,687
Wakati wenzenu wanacheza mechi 2 Kila wiki, nyinyi mna game Moja au msicheze kabisa. Halafu mnaenda kufungwa na timu ipo pungufu. Hivi nyie mna akili kweli
Yule jamaa anaweza akafa na mbuga ya nywele kichwaniWanangu nyumbu kama nyumbu, itumike busara yule mchiz anyoe zile nywele

upo sahihi sanaIla kobi maino buana tu wakweli yule sio mido wa kumtegemea anamakosa mengi Sana ukiacha safe passess na Short pass
pale Kati inatakiwa mido wawili katili
luke Shaw aondoke tu chezaj linaogopa mpira wakat linacheza nafas rahisi kuliko zote
Cunha alicheza hivi Kwa dharau baada kuwafunga Arsenyo, Leo ndo mmevalisha kijola Kwa kupoteza gemu moja tu kati mechi 9 mfullizo kweli wa bongo nyoko😸😁🤪Hamna uwezo wa kumaliza top 3
Hizi tabia huwezi waambia wanaume wenzako inaonesha una matatizo ya kisaikolojia. Utani wa kudhalilisha wanaume wenzio namna haufai kwakwel mpira ni fair na ushabiki unatakiwa uwe fair.Wacheza sebene🤣🤣 View attachment 3552719