Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasubiria kuona tutafanya sajili gani June.
Lakini watuletee winger Moja, striker 1, viungo wawili, na beki 2.
Duuh braza km upo hotelini unaagiza misosi, lete kuku2, chips zege 2, kongoro2, juice 1, soda 2...
Sasa vyote hivyo bila kocha pia wakuwaunganisha kazi Bure, Km hizo tetesi ni kweli mnataka Luis Henrique wa Psg, Zidane, Maresca nk atawafaa asipoingiliwa na bodi, ila Kwa Zidane binafsi namuonaga km mbahatishaji hivi..
 
Me
Duuh braza km upo hotelini unaagiza misosi, lete kuku2, chips zege 2, kongoro2, juice 1, soda 2...
Sasa vyote hivyo bila kocha pia wakuwaunganisha kazi Bure, Km hizo tetesi ni kweli mnataka Luis Henrique wa Psg, Zidane, Maresca nk atawafaa asipoingiliwa na bodi, ila Kwa Zidane binafsi namuonaga km mbahatishaji hivi..
Me Bora wamlete Henrique wa Psg au wamuache carrick...hao wengine ni average km arteta tu kuna sehemu watakwama in the long run tena haswa epl
 
Kuhusu sajili man u zote hizo anaweza kufanya....coz km striker tunaleta back up, bei yake lzm iwe chini japo kuhusu umri ni either awe mdg au awe 26+.
Pia tunatumia sales revenue ya rashfod, hojlund, greenwood na wengine kikosini ili ku finance usajili.
Tutasajili sana June na amini, united project ya 2028 inaleta matunda.
Project ni ya club sio kocha.
 
Screenshot_20260224_010032_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom