Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
Timu anapewa carrick nahisi tu, japo Nina wasiwasi naeTatizo ni kwamba akija kocha mpya, atakuja na machaguo yake mengine kabisa kiasi kwamba hata Bruno ataonekana hafai mfumo wake. Atahitaji 10 mpya.