Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 878
- 1,147
Man u awez ata kupata sare mbele ya arsenal

Man u awez ata kupata sare mbele ya arsenal

Baada ya kuifunga City mmepiga kelele nyingi Sana utadhani mmeshinda mechi 20 mfululizo kumbe ni mechi moja Tu
Hizo kelele zenu zinaenda kuzimwa Leo pale Emirates


KmmkeWachague moja kuweka timu nyuma (kupack bus) au waondoke na guni la magoli

Ikawaje?Next game Epl mnakutana na city mnyamaView attachment 3526902
Naona nyumbu saivi mamb sio mabaya 😁
Hatuwezi mvua Cunha jezi namba 10 lwa ajili ua takataka ileDogo anajiona star sana abaki huko huko , tunataka watu wenye uchu
Bado naiona nafasi pale juuNaona nyumbu saivi mamb sio mabaya![]()
Lbd top4 lkn ubingwa msahauBado naiona nafasi pale juu
Options zipo nyingi wewe umeopt kua mpuuzi. Hapa siwezi kukuokoa.Ulikaa kupoteza muda kuandika hii takataka?
Mkuu nakuomba pmBado naiona nafasi pale juu wakuu
😁😁😁 wew nijaze tu ila Leo jitahidini mumshenyente man shit. Ili mie nizidi kusogea juuu na kujihakikishia msimu ujao kushiriki UEFA. Maana inakela sana kucheza mechi moja kila wiki.😂😂😂😂
I'm telling you
Tena siyo mtu mmoja Wala wawili.
Wapo wengi tu
Haya ndio madhara ya kuzaliwa kwenye mbunye ukiwa umetanguliza miguu.Nimeona leo huu uzenge , you deserve a special qumerniner
Kuna mtu aliniletes stats zake msimu huu na za Cunha nikamwambia ata ashinde ballon D or Man U simtakiDogo anajiona star sana abaki huko huko , tunataka watu wenye uchu
West Ham AwayGGMU
ivi mechi ijayo tupo na nani
Tangu Trent aondoke Mahaba yake kahamishia kwa Patrick Dorgu😃😃😃Unatupenda mashetani kisirisiri😜