🤣🤣🤣 Hahahhhhh
Mkuu nakuomba pmSoon
Tonali binafsi naona ndio best option lkn wakija na Baleba itafaa sana, Kisha tupate striker, winger Moja, na beki Moja RBKama tunavyofahamu Casemiro ataondoka mwisho wa msimu na kuna hitajika Replacement yake/zake za Lazima , hivyo basi hao hapo chini ni Baadhi ya makinda wanaonekana wanao huo uwezo wa kujazilizia Pengo la Casemiro kulingana na ufanisi waliopo nao kwa kila mmoja hapo kwenye picha.
Mimi naanza na 𝐁𝐀𝐋𝐄𝐁𝐀, 𝐓𝐎𝐍𝐀𝐋𝐈 & 𝐄𝐃𝐄𝐑𝐒𝐎𝐍.
Je, ni watu/mtu gani unaona ni sahihi kutia maguu kuja kutumikia chama?..? View attachment 3545656View attachment 3545657View attachment 3545659View attachment 3545660View attachment 3545661View attachment 3545662View attachment 3545663View attachment 3545664View attachment 3545665
Tatizo ni kwamba akija kocha mpya, atakuja na machaguo yake mengine kabisa kiasi kwamba hata Bruno ataonekana hafai mfumo wake. Atahitaji 10 mpya.Tonali binafsi naona ndio best option lkn wakija na Baleba itafaa sana, Kisha tupate striker, winger Moja, na beki Moja RB