Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama tunavyofahamu Casemiro ataondoka mwisho wa msimu na kuna hitajika Replacement yake/zake za Lazima , hivyo basi hao hapo chini ni Baadhi ya makinda wanaonekana wanao huo uwezo wa kujazilizia Pengo la Casemiro kulingana na ufanisi waliopo nao kwa kila mmoja hapo kwenye picha.

Mimi naanza na 𝐁𝐀𝐋𝐄𝐁𝐀, 𝐓𝐎𝐍𝐀𝐋𝐈 & 𝐄𝐃𝐄𝐑𝐒𝐎𝐍.

Je, ni watu/mtu gani unaona ni sahihi kutia maguu kuja kutumikia chama?..?
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
An established Premier League replacement or an up-and-coming talent from Europe___What approa...jpg
 
Kama tunavyofahamu Casemiro ataondoka mwisho wa msimu na kuna hitajika Replacement yake/zake za Lazima , hivyo basi hao hapo chini ni Baadhi ya makinda wanaonekana wanao huo uwezo wa kujazilizia Pengo la Casemiro kulingana na ufanisi waliopo nao kwa kila mmoja hapo kwenye picha.

Mimi naanza na 𝐁𝐀𝐋𝐄𝐁𝐀, 𝐓𝐎𝐍𝐀𝐋𝐈 & 𝐄𝐃𝐄𝐑𝐒𝐎𝐍.

Je, ni watu/mtu gani unaona ni sahihi kutia maguu kuja kutumikia chama?..? View attachment 3545656View attachment 3545657View attachment 3545659View attachment 3545660View attachment 3545661View attachment 3545662View attachment 3545663View attachment 3545664View attachment 3545665
Tonali binafsi naona ndio best option lkn wakija na Baleba itafaa sana, Kisha tupate striker, winger Moja, na beki Moja RB
 
Tonali binafsi naona ndio best option lkn wakija na Baleba itafaa sana, Kisha tupate striker, winger Moja, na beki Moja RB
Tatizo ni kwamba akija kocha mpya, atakuja na machaguo yake mengine kabisa kiasi kwamba hata Bruno ataonekana hafai mfumo wake. Atahitaji 10 mpya.
 
Nasubiria kuona tutafanya sajili gani June.
Lakini watuletee winger Moja, striker 1, viungo wawili, na beki 2.
Duuh braza km upo hotelini unaagiza misosi, lete kuku2, chips zege 2, kongoro2, juice 1, soda 2...
Sasa vyote hivyo bila kocha pia wakuwaunganisha kazi Bure, Km hizo tetesi ni kweli mnataka Luis Henrique wa Psg, Zidane, Maresca nk atawafaa asipoingiliwa na bodi, ila Kwa Zidane binafsi namuonaga km mbahatishaji hivi..
 
Me
Duuh braza km upo hotelini unaagiza misosi, lete kuku2, chips zege 2, kongoro2, juice 1, soda 2...
Sasa vyote hivyo bila kocha pia wakuwaunganisha kazi Bure, Km hizo tetesi ni kweli mnataka Luis Henrique wa Psg, Zidane, Maresca nk atawafaa asipoingiliwa na bodi, ila Kwa Zidane binafsi namuonaga km mbahatishaji hivi..
Me Bora wamlete Henrique wa Psg au wamuache carrick...hao wengine ni average km arteta tu kuna sehemu watakwama in the long run tena haswa epl
 
Kuhusu sajili man u zote hizo anaweza kufanya....coz km striker tunaleta back up, bei yake lzm iwe chini japo kuhusu umri ni either awe mdg au awe 26+.
Pia tunatumia sales revenue ya rashfod, hojlund, greenwood na wengine kikosini ili ku finance usajili.
Tutasajili sana June na amini, united project ya 2028 inaleta matunda.
Project ni ya club sio kocha.
 
Back
Top Bottom