Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
😂🤣🤣SawaaKwa mpira gani mlionao wa kuiunga Arsenal
😂🤣🤣SawaaKwa mpira gani mlionao wa kuiunga Arsenal
3:2Amueni wenyewe kesho tuwakande chuma ngapi?
😂Niwaulize tena "mseme wenyewe leo tuwakande chuma ngapi? "View attachment 3534239
Sawaa arteta....united ni master of counter attack...mara nying counter attack football haitabiliki.Baada ya kuifunga City mmepiga kelele nyingi Sana utadhani mmeshinda mechi 20 mfululizo kumbe ni mechi moja Tu
Hizo kelele zenu zinaenda kuzimwa Leo pale Emirates
Upo hai kwel au umekufa kibuduNitakutafuta muda wa mapumziko
Leo msijichanganye mkataka tupishane, mtazalilika
Hili swali ungemuuliza guardiola, alifungwaje...wenyewe hatuelewani😂Nyie wajinga Leo mtatueleza mliifungaje man city
😂😂 utakojoa kitandani wewe amkaPicha za saa 3 usiku zimeanza kuvujaView attachment 3534275
😂Nyumbu kipigo kipo pale pale japo halitakua kapu la magoli
Akili dogo...🤣😂😂Leo tupo na nyumbu Timu yenye defence mbovu na washambuliaji wa kawaidaView attachment 3534334
The Fear of winning a trophy is called arsenophobiaDaaah wikend imemalizika vibaya kwangu uku mnyama kule aseno
Kumfunga city sio kwamba na arsenal utajipigia huo ni moto wa kifuuu
Clinical.Bado naiona nafasi pale juu
On target tatu tu zote nyavuni
Arsenal wakianza kusimulia timu yao, utadhani wanaiongelea prime barca ya 2010 au prime united ya 2008/1999Upo hai kwel au umekufa kibudu
Arsenal wakianza kusimulia timu yao, utadhani wanaiongelea prime barca ya 2010 au prime united ya 2008/1999
Unajua arsenal wasipokua makini hata top 4 wanaweza wasiingieThe Fear of winning a trophy is called arsenophobia
Kale katimu kako kivulana vulana sana , ngoja tuone huenda wakabeba , ila game ya jana Arteta vs Carrick ni kama ya sir fargie vs wengerUnajua arsenal wasipokua makini hata top 4 wanaweza wasiingie
Wewe mtuMan u awez ata kupata sare mbele ya arsenal