Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1000069668.jpg
 
Bado naiona nafasi pale juu

On target tatu tu zote nyavuni
Clinical.
Ukifuatilia Man Utd ya makocha wote, tulikuwa tunatengeneza sana nafasi ila umaliziaji unatuangusha.
Halafu makipa wa timu pinzani walikuwa wanaibuka mashujaa kwenye mechi zetu kibao
 
Back
Top Bottom