Unajua arsenal wasipokua makini hata top 4 wanaweza wasiingieThe Fear of winning a trophy is called arsenophobia
Kale katimu kako kivulana vulana sana , ngoja tuone huenda wakabeba , ila game ya jana Arteta vs Carrick ni kama ya sir fargie vs wengerUnajua arsenal wasipokua makini hata top 4 wanaweza wasiingie
Wewe mtuMan u awez ata kupata sare mbele ya arsenal
Hio ni sawa na kupiga dem na usitoe bikra au mimba.Nyumbu jana mlikuwa kama watoto yatima 😂
Sio jana tuu hata leo pia.
Wanaume wote walikuwa na mchezo jana 😂
Nyie mna kombe gn?Hio ni sawa na kupiga dem na usitoe bikra au mimba.
Rudin na kombe
Bila hivo ni kupoteza muda
Acha fujo....2:3Nyie mna kombe gn?
Wampumzishe huyu mwana, amekaa muda sana na minywele yakeSoon ananyolewa