Kaka tumeliona somo vizuri sanaLeo tunawafundisha arsenal namna ya kucheza na Villa.
Karibuni sana ndugu zetu Castr arsenal2004 hamis77 na wengineo mjifunze namna ya kucheza na Unai.
Huo ni msiba mwingine kwa nyumbuRuben anasema timu bora haijashinda ila atahakikisha mnashinda mechi ijayo.
Nikacheki ni mechi gani nikakuta ni dhidi ya Newcastle.
Yaan man u kuna wachezaji hawastahili Kuendelea kuchezea hii club.Hivi mna uhakika Dorgu ni mchezaji kweli?
Semenyo kaichagua City, rasmi nyie ni runner-up kwa msimu huu tena.Ngumu sana unayepambania kushuka daraja kumfundisha muongoza ligi
Mbaya zaidi kwake, Bruno hatakuwepo.Ruben anasema timu bora haijashinda ila atahakikisha mnashinda mechi ijayo.
Nikacheki ni mechi gani nikakuta ni dhidi ya Newcastle.
Semenyo ni Rashford asiyekubali kushindwaSemenyo kaichagua City, rasmi nyie ni runner-up kwa msimu huu tena.
Kwa hii comment basi kazi imeisha kwa nyumbuBado naiona nafasi pale juu wakuu
Mechi haangalii anasubiri matokeo tuKijiti amepokea ze-dudu na kauli yake 'naiona nafasi pale juu'
Hii Manchester inapeleka moto mda woteMechi haangalii anasubiri matokeo tu
Tunawasubiri hapaBado naiona nafasi pale juu wakuu