Mwana sijamuonaHivi HENRY14 yupo JF?
Tumechomoa mapema tuWanetu mnaongozwa
Na sisi tulichomoa mzee. KomaeniTumechomoa mapema tu
Nashangaa leo Villa wanacheza mpira umepoa sana.Na sisi tulichomia mzee. Komaeni
Mbinu hiyo. Hayo ndio mambo ya emery. Anakuachia mpira ukijisahau anafumuka fasta kaunta attack tu moja goliNashangaa leo Villa wanacheza mpira umepoa sana.
Wamerelax hata wakifungwa hii mechi hawatoki walipo na next game ni dhidi ya hao wanaotakiwa kuwatoaNashangaa leo Villa wanacheza mpira umepoa sana.
NilikUambia mimiNashangaa leo Villa wanacheza mpira umepoa sana.
Kocha tunae wachezaji ndio shida
Ngumu sana unayepambania kushuka daraja kumfundisha muongoza ligiLeo tunawafundisha arsenal namna ya kucheza na Villa.
Karibuni sana ndugu zetu Castr arsenal2004 hamis77 na wengineo mjifunze namna ya kucheza na Unai.