Mh! Wajameni, uvumilivu unaanza kunishinda...
Nilishawaambieni.....DM kaigeuza ManU kuwa Everton.......this is not ManU........
Mh! Wajameni, uvumilivu unaanza kunishinda...
Watu wanasahau Moyes alipoitoa Everton na kumpa credits zote Martinez, aliyeishusha daraja Wigan!!
Je, siku Wenger akiondoka goons, halafu akaja kocha na kuchukua makombe matatu msimu wa kwanza, mambo aliyofanya Wenger yatasahaulika?
Now, I hate Everton, I wish Arsenal to be 4th...
Arrgghh...msimu huu ni majanga na shidaaaaaaa...
Mwaka huu wa ajabu Manchester Utd na Arsenal wote wanaweza kukutana Europa League baada ya miaka zaidi ya kumi kuwepo Champions League. Tusubiri tuone.
It took Fergie 6 seasons before he started winning. You should give Mr Moyes a buffer timekweli mkuu?? Do you realy want this debate/dialogue ??
Mh! Wajameni, uvumilivu unaanza kunishinda...
....kwa mlengo huo huo tuseme nini kuhusu SAF?....kwamba alifeli??????!!!.......sijui kwa nini unamtetea sana DM aisee.........DM anaendelea kuharibu uzuri wa Ligi ya Uingereza.....unafikir ukimuuliza mshabiki wa Everton leo hii kuhus performance yao unafikiri atamsifia DM??....please!
unaposema Martinez aliishusha daraja Wigan......kw ahiyo unataka kutuaminisha kuwa Everton walimchukua Martinez ili iweje......your theory/assertion kuhusu Martinez Vs DM Vs Arsene Wenger does not apply at all.......
Siamini kama hii comment umeitoa weye...Utazoea tu mbona sie tupo just Lower your expectations you will be fine...
Pole mkuu...
Cc: Belo,@ARB mfarisayo Idimi mtotowamjini....
Miaka18 mfululizo kwa United...
Ila chifu, nisingependa United iende Europa; ligi ya kipuuzi sana ile...fixtures ziko crowded kweli, zinaanza two weeks after world cup...kusafiri kila kona ya Ulaya..malipo kiduchu.
Hivyo ningependa focus ya United next season iwe kwenye domestic cups tu...
]It took Fergie 6 seasons before he started winning. You should give Mr Moyes a buffer time[/B]
Afu kibaya kingine wanaoshindwa kukwalifai Knock out stage(3rd place) katika UCL wanatupwa Europa League mkishafika stage hii timu zilizoanza Europa tangu mwanzoni zinakuwa zimeshacheza mechi nyingi kuliko walioishia nafasi ya 3 UCL, inakuwa kama mnaanza nao upya. UEFA wangebadili hii system sababu haipo fair.
Kwa hiyo expectations zenyu goons uwa ni?!?
Top four...hatuna competitive squad..
Anza kupractice otherwise utaumia sana ndugu