Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,294
Wahafidhina mlishaandaa vibonzo mkidhani tutafungwa
Hatuwezi kupuuzia juhudi zenu wadau.mko vizuri na gari sio linawaka tena ila linaungua kabisaWahafidhina mlishaandaa vibonzo mkidhani tutafungwaView attachment 3499077
Sad. Lakini kocha anajitahidi sana na kinachotuua ni quality za wachezaji.Ile nafasi aliyokosa Sesko Mimi binafsi tayari nilikuwa nishaamka kwenye kochi naruka ruka daah mara kakosa aisee, pale unabaki kusema Tu angekuwa Fulani pale kamba kabisa. Uharaka wa kufanya maamuzi ndio unamuumiza Sesko, very slow kabisa, bado anacheza as if Yuko Bundesliga ambapo unaweza kukimbia na mpira bila kuguswa, EPL intensity iko juu kidogo, halafu pace ni ya maana Sana sasa naona kijana bado Sana, huyu ukimpa presha utampoteza.
Hii mechi tulikosa quality kidogo za kuua, yaani gapes walizokuwa wanaacha Spurs ulikuwa unaziona kabisa, some moments unaona kabisa tukitoka kwenda kwao wako disorganized so badly basi ilihitaji ubora kidogo sema hatukuwa nao kwenye zile nafasi, Ugarte alikuwa anakimbia kimbia Tu kwenye pitch, Ugarte ana nini huyu?, alikuwa bonge la mchezaji Sporting!....Pale tupate Kati ya Anderson na Baleba.
Labda msimu ujao....tupate mbadala au waongeze viwango kina dalot, casemiro, sesko, dorgu...yaani LWB, CF, DM.Timu ipo bado mambo madogo sana tuwanie ubingwa
Wataongezwa tu mdau kuna kiama kinakuja hapo na aseno asipobeba ubingwa msimu asahau kubeba tena mileleLabda msimu ujao....tupate mbadala au waongeze viwango kina dalot, casemiro, sesko, dorgu...yaani LWB, CF, DM.
kufika 2028 tutakuwa na timu bora england na ulaya
Arsenal wanatia wadiwasiWataongezwa tu mdau kuna kiama kinakuja hapo na aseno asipobeba ubingwa msimu asahau kubeba tena milele
Kocha wetu awe mkali dirisha dogo asajili hata wachezaji watatu 3. CM, DM, LWB.Wataongezwa tu mdau kuna kiama kinakuja hapo na aseno asipobeba ubingwa msimu asahau kubeba tena milele
Wachezaji wako hawajielewiWakuu mbona kama njia nyeupeeeee
Au nimeiona mimi tu peke yangu
Watanipa maumivu sanaWachezaji wako hawajielewi
Utashangaa tuna draw au kufungwa
Amegombana na mwenzake (michael kean) ....sasa kwenye kumsukuma akawa kama karusha kakibao ivi kwenye uso wa Kean...bahati mbaya refa akaona hakua mbali ....Wazee, jamaa kapewa Red card ya nini