Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kubwa jinga mda wa lawama sasa mlimbebesha san lawama mwanetu onana sasa kasepa na bado mnashenyentwa 😂😂
 
Zirkizee, dalot, shaw, dorgu, hawa hapana aisee .......sio watu wa kucheza manutd
Sijawahi kutizama mpira kwa hasira kama Jana, maana kila mpira unapoelekea nawaona hao wapuuzi mbele ZIRKIZEE, kati DORGU + CASEMIRO anapoteza mipira Hovyo mpira ukirudi nyuma DALOT + SHAW 😡.

sio siri Jana walinipa Headache.
 
Kuna siku hii timu ilishika nafasi ya pili X zikazagaa tweets zikisema 'We are only two points against first place Arsenal. Title race is on'

Nilicheka nikamkumbuka Pogba alivyosema hawa hawajui mpira
 
Kuna siku hii timu ilishika nafasi ya pili X zikazagaa tweets zikisema 'We are only two points against first place Arsenal. Title race is on'

Nilicheka nikamkumbuka Pogba alivyosema hawa hawajui mpira
Huyo pogba mpira anajua kwani
 
Back
Top Bottom