Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 565
- 654
Dah, Everton wakija second Half watapaki basi.
Ndio ndio mkuu, dalili zipo wazi tunaelekea pazuri 😂Naamini tunaelekea kuzuri sasa dalili zipo wazi.
Labla mshindie maharageLeo tunashinda
Bado hamna shabiki wa United anayeweza kutofautisha bahati na system kutikiWakuu mbona kama njia nyeupeeeee
Au nimeiona mimi tu peke yangu
SAsa hivi lawama za back 3 zitaanza upyaLeo tunashinda
Huu muda hatuna kwa sasaSAsa hivi lawama za back 3 zitaanza upya
Vp maumivu uliyopewa yanaendeleaje 😂Watanipa maumivu sana
Njia ni nyeupe, ila mmekosea njia 😂Wakuu mbona kama njia nyeupeeeee
Au nimeiona mimi tu peke yangu
Maumivu yana mtindo wa kuishaVp maumivu uliyopewa yanaendeleaje 😂
Pole kaka.Watanipa maumivu sana
Sijawahi kutizama mpira kwa hasira kama Jana, maana kila mpira unapoelekea nawaona hao wapuuzi mbele ZIRKIZEE, kati DORGU + CASEMIRO anapoteza mipira Hovyo mpira ukirudi nyuma DALOT + SHAW 😡.Zirkizee, dalot, shaw, dorgu, hawa hapana aisee .......sio watu wa kucheza manutd
Huyo pogba mpira anajua kwaniKuna siku hii timu ilishika nafasi ya pili X zikazagaa tweets zikisema 'We are only two points against first place Arsenal. Title race is on'
Nilicheka nikamkumbuka Pogba alivyosema hawa hawajui mpira