Acha kuleta taharuki, mpka allypipi adhibitishe kwanza.Leo tunashinda, tatu
Acha kuleta taharuki, mpka allypipi adhibitishe kwanza.Leo tunashinda, tatu
Dah 😂Leo tunashinda, tatu
Wanakatisha tamaa, japo EPL ni ngumuZile games za kutaka kunyanyuka sie zinatupa shida sana toka enzi na enzi tangu aondoke babu
Nyie nafasi yenu ndo hyohyo mzee … we unawategemea kina yoro na dorgu na mount afu unawaza top 4 unachekesha mkuu😂Kesho tunachomokaje wakuu
Mimi bado naona nafasi pale juu kuna timu imetushikia
Unataka nimtegemee nani sasa merino au eze ili niweze kukaa top fourNyie nafasi yenu ndo hyohyo mzee … we unawategemea kina yoro na dorgu na mount afu unawaza top 4 unachekesha mkuu😂
Mbona kama nafasi naiona wakuu pale juu
Mbona kama nafasi naiona wakuu pale juu
Kwenda kutembea auGlazer, ineos , amorim, out
Hiz game 3 nyuma tungewini aisee tungekuwa mbali sana mkuuNaomba mumlinde sana MASON MOUNT..
anajua mpira, anajua sana mpira, mtunzeni sana mpeni muda mwingi wa kuanza mechi. Anajua sana na ana moyo mkubwa sana wa kupambania timu.
Baadae anaweza kuja kuwa nahodha mzuri sana hapo baadae.
View attachment 3513278
Waende tu cunha yupoDialo na mbeumo wanaenda AFCON.