Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu inacheza mechi moja kila baada ya siku 6 na bado ikiingia uwanjani ni kama ndiyo muda huo wamekutana 🚮🚮🚮
 
Mbona kama nafasi naiona wakuu pale juu
 

Attachments

  • Screenshot_20251206_193303_FotMob.jpg
    Screenshot_20251206_193303_FotMob.jpg
    67.6 KB · Views: 16
Golden chance tatu za kupanda Hadi top six tumeshindwa wenyewe kutumia tena mbili za nyumbani tena si nyumbani Tu Bali moja walikuwa pungufu na nyingine ya juzi na timu iliyokuwa mwisho kabisaaa, hivyo ndivyo tulivyofikia, makosa ni Yale Yale, vitu vidogo vidogo Tu basics za kuzingatia still waaap, Eti Bowen na kimo kile anapiga kichwa mbele ya watu watatu...

Mechi ya Kesho timu ifanye vyovyote vile ili ishinde, Wolves wako mwisho kabisa mwa table but unaweza shangaa akaibukia kwetu na akashinda, inabidi tushinde ili tupate ahueni kidogo tuingie top six...

Timu hii bado Sanaa, lakini lazima tuoneshe kidogo. Sasa hivi timu zishatusoma zikicheza low block hatufungi hata moja lakini tukiwa Sisi ndo tunafanya low block muda wote kunakuwa na dalili za kupata goli kwenye quick transition, yaani hizi second balls ndo zinatuua kabisa kabisa. Wachezaji kama sita hivi wa kuondoka pale Stretford end.
 
Naomba mumlinde sana MASON MOUNT..

anajua mpira, anajua sana mpira, mtunzeni sana mpeni muda mwingi wa kuanza mechi. Anajua sana na ana moyo mkubwa sana wa kupambania timu.
Baadae anaweza kuja kuwa nahodha mzuri sana hapo baadae.
Screenshot_20251209_005813_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom