unamuonaje semenyo?..?Tusajili sana, dirisha dogo sajili mbili za maana, kubwa sajili sita
Kikosi bado
Super...atafaa kucheza 2 za juu lakini sio LWB au RWB.unamuonaje semenyo?..?
𝐖𝐡𝐚𝐫𝐭𝐨𝐧 ⚖️ 𝐄𝐥𝐢𝐨𝐭 𝐀𝐧𝐝𝐞𝐫𝐬𝐨𝐧Super...atafaa kucheza 2 za juu lakini sio LWB au RWB.
hata yeye hataki kucheza kama RWB
Liverpool wanamtaka zaidi, me naona tupate viungo wawili Baleba na Wharton au Baleba na Eliot Anderson
Me naenda na Wharton.𝐖𝐡𝐚𝐫𝐭𝐨𝐧 ⚖️ 𝐄𝐥𝐢𝐨𝐭 𝐀𝐧𝐝𝐞𝐫𝐬𝐨𝐧
nikifika kwenye huu uchaguzi nichukue nani 𝐍𝐀𝐂𝐇𝐎𝐊𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀 😶.
Huyo Dogo hapo Juu nimetuma Link yake Rodrigo Mora umemtizama?..?, na unamuonaje?..?Me naenda na Wharton.
Me naenda na Wharton.
mimi Piah ujue huyu dogo nilishamuona kitambo nikampuuzia ila baada ya muda kuna mtu humu akam Recommend nazani ni DaemushinMe naenda na Wharton.
Ngonja nimuone...nakuja kukupa mtazamo wangu badae kdgHuyo Dogo hapo Juu nimetuma Link yake Rodrigo Mora umemtizama?..?, na unamuonaje?..?
Dogo offensively ana sifa za amad diallo au zaidi...ni kiungo super, huyu anatufaa japo Kwa umri wake unakosa uhakika wa jinsi atakovyokuwa kwetu...mimi Piah ujue huyu dogo nilishamuona kitambo nikampuuzia ila baada ya muda kuna mtu humu akam Recommend nazani ni Daemushin
Yeah sema sikumbuki source husika, Tena Dogo anapiga miguu yote ana stamina pia mala moja moja anapataga nafasi Portugal U21.Dogo offensively ana sifa za amad diallo au zaidi...ni kiungo super, huyu anatufaa japo Kwa umri wake unakosa uhakika wa jinsi atakovyokuwa kwetu...
Anafaa sana.
Kwani kuna tetesi za sisi kumtaka??
Atatufaa...huoni Chelsea estaveo wamemuotea na sasa ni starYeah sema sikumbuki source husika, Tena Dogo anapiga miguu yote ana stamina pia mala moja moja anapataga nafasi Portugal U21.
Nimecheck Takwimu zake msimu Jana Kaanzia Mechi 16 kati ya 23 alizocheza na katupia Goli 10 assist 4 naona ni meanzo mzuri kwa umri wake na nafasi anayo cheza Tena hapo alikuwa 17.View attachment 3510828
Man u project ya EPL 2028 inanipa matumaini sana na kufanya niamini process ya amorin.Kesho tunachomokaje wakuu
Mimi bado naona nafasi pale juu kuna timu imetushikia
Leo tunashinda, tatuKesho tunachomokaje wakuu
Mimi bado naona nafasi pale juu kuna timu imetushikia