Hizi goli zote zilikuwa zinaepukika, Tulisema post za nyuma kuna hizi timu za Brentford, Forest, Bournemouth, Newcastle zinakuja kutulaza na viatu na sasa hivi Kaongezeka Crystal palace, Everton, just imagine five defenders wanashindwa na watu wawili au watatu Tu, tunafungwa kilaini Sana.
Hawa watu kama kina Maguire, Shaw, Dalot Wana vimakosa ambavyo vimetuumiza Sana, hata ukisema umtimue kocha wachezaji bado ni wale na mentality zao ni zile zile. Wale Jamaa Jana tumecheza mpira wao kabisa, Kocha afanye maamuzi magumu Tu, kuna Seniors inabidi wapumzike Kwanza. Game ijayo tuna Sunderland ambao ni wa Moto kweli na wako vizuri mno, Combo ya Maguire na De Light haina chemistry kabisa, wote wazito hawana Pace ni hatari Kwa timu zinazocheza long balls...
All in all yesterday timu nzima ilikuwa hovyo, hatua moja mbele, hatua mbili nyuma.