XinKumi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 1,275
- 1,143
Haya, bado yenu matatu.Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Haya, bado yenu matatu.Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Mtu wa maana sana weweBarobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha![]()
![]()
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora




Kwa timu ipi mpaka tuhitaji makombeNyie wajinga hivi Kwa akili yenu mnafikiri man u inaitaji makombe
Utd tumebakishq kirus mmoja tu Bruno.
Utd tumebakisha kirus mmoja tu Bruno.
Nyumbu haujawahi kuwa na akili, unge badilisha tatu kuwa 1 unge onekana sio chiziBarobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Tuseme inshallah, man u hii kama kobisi tu 😂😂 makaveli10Kipindi cha pili tusawazishe then tupige la ushindi
Umepatia kabisa ulichopaswa kuandika ni Brentford 3 na Manchester united 1 ,ulikuwa na idea kama ningekuwa mwalimu ungepata 2.5/100Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Daaah🤣🤣🤣Tuseme inshallah, man u hii kama kobisi tu 😂😂 makaveli10