Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Barobaro boys leo tena kukiwasha

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁

Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3

Watapigwa sana wale wakora
Haya, bado yenu matatu.
 
Nyie wajinga hivi Kwa akili yenu mnafikiri man u inaitaji makombe
 
Tatizo la MUFC ni kubwa sana, wachezaji hawajiamini hata kidogo, wanacheza kama wamebeba dunia katika vichwa vyao.
 
Tatizo la utd ya sasa ni kocha na wala sio wachezaji. Ubora wa Mdeumo, Cunha na Sesko unafahamika ila kwa sasa hakuna wanachocheza, kifupi ni kuwa wachezaji hawafurahi nfumo wa kocha ni kama unawanyima kucheza. Kwa hawa wachezaji wa sasa tukipata kocha mwenye DNA ya utd kama Rud van Nestroy tunarud kweny heshima yetu.
 
Timu kufungwa wala sio tatizo ila sasa tunachezaje? Yaani mpira hauvutii, hatucreat nafasi yaan ni kama wachezaji huwa wanaenda uwanjani kuzuia. Hii timu inahitaji kocha mwenye rekodi ya kutisha EPL hasa kutoka utd kam Van Nestroy kiasi kwamba wapinzani tu watatishika kabla ya kuingia uwanjani.
 
Barobaro boys leo tena kukiwasha

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁

Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3

Watapigwa sana wale wakora
Umepatia kabisa ulichopaswa kuandika ni Brentford 3 na Manchester united 1 ,ulikuwa na idea kama ningekuwa mwalimu ungepata 2.5/100
 
Back
Top Bottom