Umewaona wa Man Utd pekee yao au mpaka na Chelsea? Ulimuona Reece James hapa mwishoni?Shida ni nini mfumo ama
Mbona wachezaji wamechoka hivi
Ila jitahidini majirani kushindashinda....bado Kila tukichungulia kilingeni tunaona kabisa safari hii mnamaliza wa 16 kwny ligi🤠🤠Mara ya mwisho Chelsea kutufunga kwenye hapa matofali ya kuchoma, hayati Magufuli alikuwa Waziri wa UjenziView attachment 3476790
Gari ndio imekolea moto hiyooIla jitahidini majirani kushindashinda....bado Kila tukichungulia kilingeni tunaona kabisa safari hii mnamaliza wa 16 kwny ligi🤠🤠
Tumeua😅🫠 ndiyo chama la wana 🫢
😁😁😁Tumeua😅
Yetu machoBarobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha![]()
![]()
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Ila wee jamaa😁😁😁Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora