Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wazee wa high line, Hi!
20250915_151648.jpg
 
Tatizo lilishakuwepo tangu dirisha la usajili lifungwe baada ya kushindwa kusajili kiungo mkabaji aina ya Baleba. Angalia jana tulivyokuwa ovyo kwenye kiungo.

Pia timu haina nguvu kwenye kujenga mashambulizi, maana unakuta hata kwenye 18 ya adui hawaingii kwa wepesi.
Aendelee tu na mfumo wake ule ule ila upangaji wa kikosi ndio shida maana jana baada ya zile sub zile dk10 za mwisho ule mfumo wake uliapply vizuri tu
 
Kule kwetu roy keane analalamika derby imeisha hakuna hata mchezaji aliepewa kadi ya njano🙌🙌
 

Attachments

  • Screenshot_20250915_194143_Lite.jpg
    Screenshot_20250915_194143_Lite.jpg
    279.4 KB · Views: 16
allypipi
Mzee unatuhujumu wewe na amorini khaaa.
Amorin acheze 4 3 3.
Allypipi usitabiri.
Tutarudi kwny ushindi.

Ila amorini kila siku anasema habadilishi structure labda ineos wambadilishe yeye😄🙌
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tukomae nae wazee huyu kocha, huyu huyu Hadi atuue. Tusimtimue huyu... Hapa najua kabisa tukikaribia Desemba halafu Hali ikawa mbaya zaidi INEOS presha itawazidi basi lolote linaweza kutokea, Jamaa ni kocha mzuri wachezaji Tu wanazingua.
 
Hii system ya kusema kuweka mabeki wengi kulazimisha wacheze sio positions zao, tutaendelea kufungwa na timu nyingi, especially timu za kingereza
😂😂 brother hamko kimataifa msimu huu. Kwa hiyo ni waingereza tu.
 
Under Jose Mourinho (4-2-3-1)
Man Utd fans: his tactics are outdated. We parked the bus a lot.

Under Ole Gunnar Solskjaer (4-2-3-1)
Man Utd fans: his tactics are wack. He depends on individual brilliance

Under Ralf Rangnick (4-2-2-2)
Man Utd fans: who uses a 4-4-2 diamond (4-2-2-2) formation in the Premier League? He’s not even a coach.

Under Erik ten Hag (4-2-3-1, and (4-3-3)
Man Utd fans: his tactics are boring. He treated Ronaldo like sheet, offloaded De Gea, who many were tired of his errors though.

Under Ruben Amorim (3-4-2-1)
Man United fans: his tactics are not working. Who uses 3-4-2-1 formation in the Premier League. He has to change it.

And British media in all of these eras: Man United manager has lost the dressing room.

Do you know what’s consistent in all these?

Man United fans talking about tactics, media talking about dressing room division.

One thing is certain; the next manager even if that’s you, I will support until it’s over.
 
Labda unatania, timu nzuri? Kwa wachezaji wapi ,hawa akina mboemo, Amad, Mainoo n.k
Kwani mkuu garnacho ni mchezaji mbaya? We subiri uone atakachokifanya akiwa Chelsea ndio mtajua vizuri sio kwamba mnawachezaji wabaya kiasi mshike hiyo nafasi, mbona hao wachezaji wakienda team zingine wanafanya vizuri?
 
Kwani mkuu garnacho ni mchezaji mbaya? We subiri uone atakachokifanya akiwa Chelsea ndio mtajua vizuri sio kwamba mnawachezaji wabaya kiasi mshike hiyo nafasi, mbona hao wachezaji wakienda team zingine wanafanya vizuri?
Shida sio ubovu wa mchezaji ila attitude zao ndio zilikuwa zinaiangusha timu.
 
Under Jose Mourinho (4-2-3-1)
Man Utd fans: his tactics are outdated. We parked the bus a lot.

Under Ole Gunnar Solskjaer (4-2-3-1)
Man Utd fans: his tactics are wack. He depends on individual brilliance

Under Ralf Rangnick (4-2-2-2)
Man Utd fans: who uses a 4-4-2 diamond (4-2-2-2) formation in the Premier League? He’s not even a coach.

Under Erik ten Hag (4-2-3-1, and (4-3-3)
Man Utd fans: his tactics are boring. He treated Ronaldo like sheet, offloaded De Gea, who many were tired of his errors though.

Under Ruben Amorim (3-4-2-1)
Man United fans: his tactics are not working. Who uses 3-4-2-1 formation in the Premier League. He has to change it.

And British media in all of these eras: Man United manager has lost the dressing room.

Do you know what’s consistent in all these?

Man United fans talking about tactics, media talking about dressing room division.

One thing is certain; the next manager even if that’s you, I will support until it’s over.
Bado hajafukuzwa tu ?
 
Jana nimeshuhudia soka tamu la kitabuni, soka la mipango sio la papatu. Mechi za Bilbao vs Arsenal, R. Madrid vs Marseill, Juventus vs Dortmund, PSV vs USG zilikuwa mechi Bora sana. Sikupata kuiona mechi ya Benfica vs Qarabag lakini kwa comeback waliyofanya Qarabag naamini nayo ilikua mechi Bora pia.

Jana nilitafakari sana kumbe Man utd tunakosa vitu vizuri usiposhiriki UEFA Kuna excitement Fulani kama shabiki unaikosa.

Kwa pira papatu la Amorim naona kabisa msimu ujao tutaendelea kukosa Uefa.

Mfumo wa kutegemea ma wing-back kama creative players wako wa kutengeneza magoli tutasubiri sana kwa mpira wa kisasa. Ndio maana msimu uliopita tulifunga magoli machache kuliko misimu yote. Huu mfumo una mafanikio sana katika ligi zisizo na ufundi mwingi na Kasi kama Serie A ya Italy, ndio maana ligi ya Italy inazalisha magoli machache kulinganisha na ligi zingine kubwa kutokana na timu nyingi kutumia huu mfumo. Ila kwa England, Spain na Ujerumani utapigika sana. Alonso mwenyewe kaenda Spain kaachana nao huu mfumo.

Siwapendi Arsenal ila kwa soka wanalopiga huwezi kuchoka kuwatazama, yule Zubimendi ni maestro haswa.

Nawakubali makocha wa kiispain, makocha wote wanaotamba sasa hivi ni wa spain kama Alonso, Guardiola, Arteta, Luis Enrique, Fuente wa timu ya taifa Spain. Namwona Xavi ni mtu sahihi wa kumpa hii timu nasi tufurahie soka tamu.

Viva United.
 
Back
Top Bottom