OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Munashindwa kuifunga manjesta shity mutaiwezw Chelsea ama Brentford kweli???
Fikiria City hii mbovu hivi imetugalagaza hivi, city wanavyocheza leo ni hovyo hovyo . Gurdiola nahisi hata yeye leo atashangaa amepataje goli zote hizi jinsi city ilivyo taabani hivi.Dakika bado zipo tutafute hata goal 2
Weekend ijayo, mtatufunga pia, timu yetu yakawaida munoo. Tuko hoi, sijui tunaelekea wapi.Munashindwa kuifunga manjesta shity mutaiwezw Chelsea ama Brentford kweli???
Sema hili Mbeumo hapa ni uwekezaji mzuri.Fikiria City hii mbovu hivi imetugalagaza hivi, city wanavyocheza leo ni hovyo hovyo . Gurdiola nahisi hata yeye leo atashangaa amepataje goli zote hizi jinsi city ilivyo taabani hivi.
Aanhaa utashangaa munatukazia halafu sisi tutaonekana wabovu😂😂😂Weekend ijayo, mtatufunga pia, timu yetu yakawaida munoo. Tuko hoi, sijui tunaelekea wapi.
Labda wasajiliwe ma-alien hapoTimu yetu kwa sasa ni level moja na Burnley, Fulham, Nottingham forest, Brighton, Brentford hatukaribii kabisa level za Liverpool, Arsenal, Tottenham, Chelsea, hivi mfano tungevunja kikosi chote, tukaanza na moja kabisaa inawezekana hadi nitazeeka hii timu bado haijajipata.
HahahahahaTimu yetu kwa sasa ni level moja na Burnley, Fulham, Nottingham forest, Brighton, Brentford hatukaribii kabisa level za Liverpool, Arsenal, Tottenham, Chelsea, hivi mfano tungevunja kikosi chote, tukaanza na moja kabisaa inawezekana hadi nitazeeka hii timu bado haijajipata.
niliwahi sema humu ......Siku ambayo Amorim atatambua timu aliyonayo haiwezi kucheza mfumo anaotaka nadhani atakuwa tayari amefukuzwa.
Na kwa hii nafasi anayomchezesha Bruno, muda sio mrefu Bruno ataanza kuonekana mzigo na ataenda timu nyingine itakayoweza kumtumia vizuri katika nafasi yake ya CAM na atauwasha moto kama Scott.
Labda unatania, timu nzuri? Kwa wachezaji wapi ,hawa akina mboemo, Amad, Mainoo n.kMna timu nzuri toka mfate ushauri wangu wa kumuuza Onana binafsi naona positive changes. Bado kidogo timu yenu I click
Alikuwa moja wapo ya tatizo, ukiwa na matatizo mengi tena kila mahali ukatatua tatizo moja, haisadii kitu.Hahahahaha
Mkuu mbona umekata tamaa hivyo?
Si mlisema tatizo ni Onana?
niliwahi sema humu ......
Huu mfumo hautakaa ufanye kazi kwa wachezaji wale wa manutd na EPL hii ya sasa.....ni mfumo magumu kuuelewa kwa hawa wachezaji waliopo pale.....
Kama hawezi badilika huyu ,ataliwa kichwa kabla ya November .....tupo hapa.
Hata abadilishe mfumo, hatuna quality players wakutupa cha maana. Angalia vikosi vya washindani wetu wakubwa ulinganishe na sisi, tuko hoi. Msimu huu timu zifuatazo hatuwezi kuzifunga labda kwa bahati tu,niliwahi sema humu ......
Huu mfumo hautakaa ufanye kazi kwa wachezaji wale wa manutd na EPL hii ya sasa.....ni mfumo magumu kuuelewa kwa hawa wachezaji waliopo pale.....
Kama hawezi badilika huyu ,ataliwa kichwa kabla ya November .....tupo hapa.