Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

niliwahi sema humu ......

Huu mfumo hautakaa ufanye kazi kwa wachezaji wale wa manutd na EPL hii ya sasa.....ni mfumo magumu kuuelewa kwa hawa wachezaji waliopo pale.....

Kama hawezi badilika huyu ,ataliwa kichwa kabla ya November .....tupo hapa.
Huyu simuoni akiwa pale kwa miezi mitatu mbele, kocha hatakiwi kuwa mbishi. Kocha mzuri anaangalia wachezaji alionao na anatafuta mbinu za kuwafanya wawe bora.

Amorim anakuwa kama mwanafunzi aliyesoma kwa kukariri mfumo mmoja tu katika mafunzo yake ya ukocha.
 
Hii system ya kusema kuweka mabeki wengi kulazimisha wacheze sio positions zao, tutaendelea kufungwa na timu nyingi, especially timu za kingereza
 
niliwahi sema humu ......

Huu mfumo hautakaa ufanye kazi kwa wachezaji wale wa manutd na EPL hii ya sasa.....ni mfumo magumu kuuelewa kwa hawa wachezaji waliopo pale.....

Kama hawezi badilika huyu ,ataliwa kichwa kabla ya November .....tupo hapa.
Hata abadilishe mfumo, hatuna quality players wakutupa cha maana. Angalia vikosi vya washindani wetu wakubwa ulinganishe na sisi, tuko hoi. Msimu huu timu zifuatazo hatuwezi kuzifunga labda kwa bahati tu,
Liverpool
Arsenal
Bournemouth
Sunderland
Spurs
Crystal Palace
Chelsea
Newcastle
Fullum
Man city( japo naye yupo hoi, ila mechi zote atatuchalaza)

Bado zile zinazokaza kweli kweli kama, Aston Villa, Brighton, West, ham, Brentford.
 
Ukweli ni kuwa utd siku hizi hainde uwanjani kucheza huwa wanaenda kuzuia tu hadi wanapofungwa ndio wanaanza kucheza. Kifupi ni kuwa mfumo wa kocha umefeli na kocha hii timu binafsi naami hatoiweza.

Utd itaponywa na kocha mwenye DNA ya utd kama Rud Van Nestroy na Solksher japo Solksher aliponzwa na ubaguz wake wa wachezaji na kuwapendelea Rashford na Martial huku akimweka bench Cavan na Igalo. Naamini kwa usajili huu hii timu akipewa Rud Van Nestroy tutawapiga watu sana kwa sasa utd wanacheza bila kujiamini nadhani mfumo unawatesa na hivyo wanashindwa kuwa huru uwanjani na kuonesha uwezo binafsi.
 
Hata abadilishe mfumo, hatuna quality players wakutupa cha maana. Angalia vikosi vya washindani wetu wakubwa ulinganishe na sisi, tuko hoi. Msimu huu timu zifuatazo hatuwezi kuzifunga labda kwa bahati tu,
Liverpool
Arsenal
Bournemouth
Sunderland
Spurs
Crystal Palace
Chelsea
Newcastle
Fullum
Man city( japo naye yupo hoi, ila mechi zote atatuchalaza)

Bado zile zinazokaza kweli kweli kama, Aston Villa, Brighton, West, ham, Brentford.
Tupo na nyny mpk mshike nafasi ya 20 kumuenzi marehemu Diogo Jota
 
Kwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,

Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tenaunataka
Mnataka waje malaika wacheze
 
Huyu kijana sio wa kugombania namba na Bruno Fernandes ...

Bruno Fernandes arudi namba 10 na huyu akae namba 08.....

Dakika 18 pekee Kobbie Mainoo katengeneza nafasi mbili, kapiga pasi 17 bila kutoa chafu..

Sio mchezaji wa kukaa kwenye mbao huyu na sio mchezaji kushindana na El capitano..

Kila mtu apewe majukumu yake halali , ukishindwa kulinda kipaji cha Kobbie,hata cha Baleba hauwezi kukilinda pia ....
 

Attachments

  • 1757878580548.jpg
    1757878580548.jpg
    492 KB · Views: 20
Ukifugwa na timu zote hizo ina maana unashuka daraja, pointi yako ni hiyo?
Hata abadilishe mfumo, hatuna quality players wakutupa cha maana. Angalia vikosi vya washindani wetu wakubwa ulinganishe na sisi, tuko hoi. Msimu huu timu zifuatazo hatuwezi kuzifunga labda kwa bahati tu,
Liverpool
Arsenal
Bournemouth
Sunderland
Spurs
Crystal Palace
Chelsea
Newcastle
Fullum
Man city( japo naye yupo hoi, ila mechi zote atatuchalaza)

Bado zile zinazokaza kweli kweli kama, Aston Villa, Brighton, West, ham, Brentford.
 
Back
Top Bottom