Haha, unamkosea kipa tu.. timu yenyewe haieleweki wabadilishe wote 😅🤣🤣🤣🤣🤣😉😉Tafuteni kipa wa kueleweka
Nyie wazenge qmmq hela yangu imeendaNyumbu mtatoboa leo?
Nimeweka hela yangu kwenu kenge nyie
Sasa hiyo control room ameipoteza kwa wachezaji gani? Maana wachezaji karibia 50% wa kikosi cha kwanza ni wake!Anorim ni kocha mzuri ila huenda ameshapiteza control ya dressing room. Wamuondie haraka walete Rud Van Nestroy.
Mna uhakika hii timu tatizo ni kocha?
Achana nao mdau kila mtu anaropoka anachojisikiaSasa hiyo control room ameipoteza kwa wachezaji gani? Maana wachezaji karibia 50% wa kikosi cha kwanza ni wake!
Ni kama tunatafuta kafara nyingine baada ya Pogba, Rashy, Martial, Lingard, n.k.
Mnaweza mkapata muda mrefu wa kupumzika lakini still mkaboronga team ikiwa mbovu inabaki tu kuwa mbovu tuMi nataka tutolewe hata huko FA tubaki na ligi tuwe na muda mrefu wa kupumzika tukiwaza game moja tu ndani ya week