Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyiye malengo yalikuwa kushinda 'ubingwa' wenu ule?!? Naona mnaelekea kutizima malengo, hongereni.

Ansante saana mkuu nami nampa pongezi Moyes kwa kuendelea kutetea nafasi yake ilee! Ambayo kaizoea toka akiwa Everton.
 
Sisi hatugombei tena nafasi ya nne. Tunapambana tuweze kucheza Euro cup (UEFA NDOGO)
 
Ansante saana mkuu nami nampa pongezi Moyes kwa kuendelea kutetea nafasi yake ilee! Ambayo kaizoea toka akiwa Everton.

Nafasi ipi? Ebu nitajie nafasi ambazo Everton ilishika kwa kipindi chote chini ya DM?!
 
kaka niko pure kabisa naombea mechi ya leeo tupigwe ili izidi kuchochea kuondolewa kwa moyes na so far everton wamefanya kweli

kaka kuuvunja mkataba wa miaka 5 si kazi ya Kitoto but yote kwa yote tusubirie tuone kama laweza kutokea.
 
Sisi hatugombei tena nafasi ya nne. Tunapambana tuweze kucheza Euro cup (UEFA NDOGO)

Ni heri tusiende Europa...ratiba yake ipo vibaya sana...halafu malipo kiduchu.

Ni bora mwakani tuwe kwenye domestic cup competitions pekee..
 
Moyez katuharibia sana timu yetu bora hata ifundishwe na kocha mchezaji mr. Giggs.

to be honest rooney hayuko fit na haenjoy mpira it seems likebado hajapona vizuri tokea kapigwa yale masindano ningekuwa mimi kocha nahisi ningempanga welbeck nafasi ya rooney.,ila as long as nataka moyes atimuliwe so jufungwa mechi ya leo kwangu hamna shida.
 
....,,thubutuuu,#TheClown is there to stay, mpaka mshuke daraja nyie..,


#MosKwito !

Arifu nafikiri hatuchekani...kwani mimi sikutarajia kuchukua ubingwa mwaka huu...lengo lilikuwa top 4...

Sasa nyiye mlikuwa mkisema ubingwa wenu mwaka huu, kutoka kwenye mbio za ubingwa hadi mbio za nafasi ya nne!!! Kuna kuchekana hapo?

Wote tumefail msimu huu? Pengine sisi tumepata 2/10 nyiye mna 3.5/10
 
to be honest rooney hayuko fit na haenjoy mpira it seems likebado hajapona vizuri tokea kapigwa yale masindano ningekuwa mimi kocha nahisi ningempanga welbeck nafasi ya rooney.,ila as long as nataka moyes atimuliwe so jufungwa mechi ya leo kwangu hamna shida.

poa naona welbek anaingia kuchukua nafasi ya kagawa, ona sasa sub za moyez
 
Arifu nafikiri hatuchekani...kwani mimi sikutarajia kuchukua ubingwa mwaka huu...lengo lilikuwa top 4...

Sasa nyiye mlikuwa mkisema ubingwa wenu mwaka huu, kutoka kwenye mbio za ubingwa hadi mbio za nafasi ya nne!!! Kuna kuchekana hapo?

Wote tumefail msimu huu? Pengine sisi tumepata 2/10 nyiye mna 3.5/10

.....aaaahhh kaka, tafuta Mbu na um quote alipoandika ubingwa ni wetu!
Am a realist maazeee,....

Optimists ndio waliodhani huenda kwa matokeo yale tungechukua ubingwa...

Anyway, je....weye #Bingwa mtetezi na #TheChoosenOne wenu kweli ulitegemea Kuwa hapo mlipo kweli?






#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom