Arsenane hapa roho zinawaumaaa wanajua Toffees watawazuia kushiriki UEFA.
haiwezekani kitu kama hicho wewe tulia dawa ikuingie vizuri usianze kutafuta sababu za kulazimisha furaha.
Hapo nakubaliana na wewe
Kumbe ni bora leo tupigwe tu.
Na mtapigwa tu! mnataka muanze kulazimisha furaha yenu kwa mgongo wa Arsenal kupigania nafasi 4.
Bora tufungwe ili mpate mshindani wa ubingwa wenu.
Rooney na Luis Nani watoke waingue Chicharito na janajuz
Mliingia kwa malengo ya kushinda baada ya kubanduliwa tumagoli tuwili mnaanza na stori za Boraa sasa kupigwa mnapigwa na top 4 everton haendi, na ndio hapo watu watakapoumia mara 2.
Siyo kulazimisha mkuu ila evaton wakishinda leo watazidi kuwakalia kooni