Dk ya 26 Jones aliunawa mpira ndani ya 18, ikatengwa penati, neimes anaipatia evaton bao la kwanza,
ev 1 - 0 man
Kaka hapa mtotoka kweli coz bado Lukaku hajafanya jambo
Dk ya 26 Jones aliunawa mpira ndani ya 18, ikatengwa penati, neimes anaipatia evaton bao la kwanza,
ev 1 - 0 man
Dk ya 31 wao 1 sisi bila
Arsenane hapa roho zinawaumaaa wanajua Toffees watawazuia kushiriki UEFA.
Gooooo, dk ya 42 tunafungwa goli la 2, daa leo!
miralaaaaas 2-0
Hii mievatoni inataka kuwashinda nguvu