Lavia hauzwi mkuu.....Lvia is not for saleMna macho lakini hamuoni mashine zipo sokoni Jackson, Nkunku, Lavia, Fofana. No udalali.
Ni kweli mkuu...namba Tisa mwingine ruthless utampata nani mwingine ..Mie naona hata arsenal wakimtosa asije kwetu, sababu huwezi kumlazimisha mchezaji ambae hataki kuja club yenu.
Chelsea c tuliwapa Mount, imekuwaje kwani? 😎Hatuna kiungo mkabaji🙌
Ndioo maana nikasema tuchukue mchezaji mwenye mapenzi na club si unaona etikite ameenda Liverpool napia ndio club aliyokua anaitaka.Ni kweli mkuu...namba Tisa mwingine ruthless utampata nani mwingine ..
Man u hata ikimchukua nani hamna kitu mna miaka 25 mbele ya matesoNdioo maana nikasema tuchukue mchezaji mwenye mapenzi na club si unaona etikite ameenda Liverpool napia ndio club aliyokua anaitaka.
Ila yule dogo sjawai kuona aise., anaitaka timu ila timu kama Haina shida nae sjui,,,.arsenal ni kama dharau wanafanya...Yan wewe unakubali kutoa paun 90+ mill , ushindwe kutoa 70+ kweli...tena sio 70, wamepungukiwa na paun mil 8 tu , arsenal ni ya kukosa paun milion 8?Ndioo maana nikasema tuchukue mchezaji mwenye mapenzi na club si unaona etikite ameenda Liverpool napia ndio club aliyokua anaitaka.
Mkuu upo sawa kwa jinsi nilivyomsikiliza fabrizio hata mie nimeona kabisa gyokeres anataka kuja arsenal, sema arsenal ndio hawaonyeshi jitihada kubwa kumchukua.Ila yule dogo sjawai kuona aise., anaitaka timu ila timu kama Haina shida nae sjui,,,.arsenal ni kama dharau wanafanya...Yan wewe unakubali kutoa paun 90+ mill , ushindwe kutoa 70+ kweli...tena sio 70, wamepungukiwa na paun mil 8 tu , arsenal ni ya kukosa paun milion 8?
Naskia Kuna ishu za nje ya mpira...sjui mambo ya matajiri hisa na UWEKEZAJI huko urenoMkuu upo sawa kwa jinsi nilivyomsikiliza fabrizio hata mie nimeona kabisa gyokeres anataka kuja arsenal, sema arsenal ndio hawaonyeshi jitihada kubwa kumchukua.
Dah unambiwa hadi mshua wake gyokeres anaililia sporting Lisbon isimbanie mwanae.Naskia Kuna ishu za nje ya mpira...sjui mambo ya matajiri hisa na UWEKEZAJI huko ureno
Mzee kweli alikua analia aise...lazima Kuna ishu nyeti nje ya hili Dili ...lazima..Dah unambiwa hadi mshua wake gyokeres anaililia sporting Lisbon isimbanie mwanae.
Na huu ndio upumbavu ambao man u bado tunao, mpira wa sasa hutakiwi kumlazimisha mchezaji cjui hawakujifunza kwa ceicedo alivyowatosa Liverpool. Au hawaoni Barcelona wanachofanya hawachukui mchezaji ilimradi tu bali wanataka awe na mapenzi na club ndiooo maana rashford kakomalia kwenda kwa mkopo Barcelona hadi na kupunguza mshahara. Man u hatukutakiwa kufanya hijacking kwa kumchukua gyokeres ili asiende arsenal wakati mchezaji hataki kuja kwetu ni bora amorim achane nae tu.Mzee kweli alikua analia aise...lazima Kuna ishu nyeti nje ya hili Dili ...lazima..
Sisi tumepeleka ofa tayar naskia timu imepokea ila mchezaji kakataa..
Kweli kabisa mkuu..unaona kama mbeumo pia yeye alihimiza kua anataka kwenda man UTD ...hio naamin atajitoa kama Bruno aliekataa mapesa ya waarabu ...Na huu ndio upumbavu ambao man u bado tunao, mpira wa sasa hutakiwi kumlazimisha mchezaji cjui hawakujifunza kwa ceicedo alivyowatosa Liverpool. Au hawaoni Barcelona wanachofanya hawachukui mchezaji ilimradi tu bali wanataka awe na mapenzi na club ndiooo maana rashford kakomalia kwenda kwa mkopo Barcelona hadi na kupunguza mshahara. Man u hatukutakiwa kufanya hijacking kwa kumchukua gyokeres ili asiende arsenal wakati mchezaji hataki kuja kwetu ni bora amorim achane nae tu.
Ndio hivyo mkuuKweli kabisa mkuu..unaona kama mbeumo pia yeye alihimiza kua anataka kwenda man UTD ...hio naamin atajitoa kama Bruno aliekataa mapesa ya waarabu ...
penandez bora angeuzwa 🤔Kweli kabisa mkuu..unaona kama mbeumo pia yeye alihimiza kua anataka kwenda man UTD ...hio naamin atajitoa kama Bruno aliekataa mapesa ya waarabu ...
