Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mshambuliaji hata akiwa nje ya boksi Umaliziaji Mbeumo anapigana mashuti. Alifunga magoli 9 kwa mashuti ya mbali (mid-range) msimu wa 2024/25, akiongoza Ligi Kuu ya England. Uwezo huu wa kufunga kutoka nje ya boksi unaipa safu ya mashambulizi ya Manchester United sura mpya na huwafanya mabeki washindwe kutabiri atakayofanya.
azama_mashango-20250719-0001.jpg
View attachment 3410973
 
BREAKING: Barcelona are advancing on a deal to sign Marcus Rashford from Manchester United. Offer via intermediaries is a loan plus buy option. United have agreed, the deal is not done but in the final stages.
 
Tangu kuondoka Sr Alex Ferguson usajil wangu bora ni
1.Bruno
2. Mbeumo
3.Cuhna
United tumekuwa tukifanya sajilo za hovyo muda mwingi tukidhani tatizo letu ni viungo na mabeki ila kiukweli tatizo letu Sugu lilikuwa kwenye umaliziaji. Ile safu ya mbele ilikuwa haina uwezo na creativity na ndio maana mastraiker wakubwa walikuja wakafail ila wakienda kwingine wanaperform.

Zaidi ya misimu kumi tumekuwa tukimaliza ligi na goli difference ya chini ya kumi au negative. Kwa uwezo wa ufungaji wa Bruno, Cuhna, Mbeumo na Amad tutavuna magoli mengi sana msimu ujao. Sisi hatakiwa wabovu sana kwenye ulinzi ndio maana kuna misimu unakuta kipa wetu yupo top three ya cleansheet ila tunaangushwa na washambuliaji, tofauti yetu na Liver na Man city ni kwamba wao wanafungwa ila washambuliaji wao wanafunga magilo mengi mno.
 
0-0 Man U ni ile ile na vilio vitakua endelevu
Tuna safari ndefu sana sema mie nashukuru hatushiriki mashindano makubwa kama UEFA msimu ujao maana tungezalilika sana, hivyo ni bora msimu ujao tuwepo tu kwenye ligi,FA na carabao. Amorim atapata mda mzuri wa kusuka kikosi chetu ila tunahitaji sana striker na kipa kwanza.
 
Hatuna kiungo mkabaji🙌
Tuna safari ndefu sana sema mie nashukuru hatushiriki mashindano makubwa kama UEFA msimu ujao maana tungezalilika sana, hivyo ni bora msimu ujao tuwepo tu kwenye ligi,FA na carabao. Amorim atapata mda mzuri wa kusuka kikosi chetu ila tunahitaji sana striker na kipa kwanza.
 
Hatuna kiungo mkabaji🙌
Ni kweli kabisa lakin striker na kipa ni muhimu sana kwa sasa, tukipata kiungo mkabaji afu kipa onana what do you except, kumbuk na (ffp) wanatuangalia ndio maana kwa mbeumo tunalipa 4 installments hivyo ni lazima tuanze ligi tukiwa tumeziba vilaka sehemu muhimu kwanza.
 
🔵🔴 BREAKING: Marcus Rashford to Barcelona, here we go! 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Verbal agreement in principle between all parties involved with Barça planning for medical tests next days.

Loan deal with buy option, details being finalised today then Man Utd will authorize his travel to Spain. ✈️
 
Bado namba 1 na namba 9.

Sijajua kuhusu kiungo namba 6 waliopo kama hawatatuangusha
Gyo anaitaka arsenal lakin yenyewe haimtaki ...sababu kama wangekua na Nia kweli wangeonesha ushirikiano na kuongeza hela..hii dharau Sasa...kwanini asije tu man u
...
 
Back
Top Bottom