Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Omar Berrada ndiye yule alikuwa pale City au tumeuziwa clone yake!
Tunajadili deal la Mbeumo miezi 2 na bado tutaishia kumnunua kwa bei wanayotaka Brentford,
Tulisha waambia njooni na 70 tuwape straika la mabao profesa nicolaus jackson steka la magoli teka linawafaa sana hapo matofalini acheni luteseka wakati kuna streka la kuwapa ubIngwa kwa bei fear kabisa 70M tuu mnafeli wapi??

Hapo manyumbu hakuna mkata umeme wa kumuweka lavia bench hakuna winga teleza inayoweza cheza na namba zote hapo mbele 7 9 na 11 zaidi ya HON CHRISTOPHER NKUKU Njoeni na 70 tuwape ama njooni na 135 tuwape nkuku na jackson
 
Tusipobeba sawa lkn tutakuwa na team ya ubingwa means tutakuwa imara sana hii ndio maana ya project .

Hivi hawa Chelsea nyie mnawaelewa mbona km wanajua kuforce sana makombe
Project zina kufaulu na kufeli pia.
 
1752839683651.jpg

Baada ya miaka 7 ya majadiliano na kukusanya kusanya hela hatimaye...
 
Huyu Omar Berrada ndiye yule alikuwa pale City au tumeuziwa clone yake!
Tunajadili deal la Mbeumo miezi 2 na bado tutaishia kumnunua kwa bei wanayotaka Brentford,
Man United's summer transfer window so far:

🇧🇷Matheus Cunha: £62.5M.
🇨🇲Bryan Mbeumo: £65M + £6M
💷 £127.5M + £6M in add-ons = 2 deals
 
Bado namba 1 na namba 9.

Sijajua kuhusu kiungo namba 6 waliopo kama hawatatuangusha
 
Beki ya kushoto zote tia maji. Shaw, Dorgu, Leon (hatujaona uwezo wake)
 
Mbeumo ni mfano halisi wa winga wa kisasa anayeingia katikati na pembeni Kwenye mfumo wa Amorim wa 3-4-3, wale washambuliaji wa pembeni wanatakiwa:

  • Kuingia katikati badala ya kubaki pembeni,
  • Kuwasumbua mabeki kwa presha,
  • Kuanzisha mipango ya magoli,
  • Na kufunga wenyewe pia.

Huyu Mbeumo amefanya yote hayo Brentford. Sasa, ubora wake unaweza kufika juu zaidi kuliko sasa Unyumbuni
20250719_133334.jpg
 
Tactical Chini ya kocha Thomas Frank, Mbeumo ameweza kucheza vizuri akiwa pembeni au katikati. Mfumo wa Amorim unategemea washambuliaji wenye uwezo wa kubadilika, wanaojua kucheza katikati ya nafasi za wapinzani na kuleta idadi kubwa ya wachezaji (overloads) sehemu fulani ya uwanja — jambo ambalo Mbeumo anafanya kwa ustadi mkubwa
20250719_134007.jpg
 
Kwenye umaliziaji msimu uliopita Mbeumo amekuwa akitoa wastani wa mabao na pasi za mabao 0.45 kwa kila dakika 90ni mchezaji wa kuaminika katika kufunga na kutengeneza nafasi, hasa wakati wa mashambulizi ya kushtukiza. Mfumo wa Amorim utamfaa sana kutokana na kasi yake na uwezo wa kutoa pasi za mwisho kwa usahihi
20250719_134127.jpg
 
Rotation Katika mfumo wa washambuliaji watatu wa Amorim, kubadilishana nafasi ni muhimu sana. Uwezo wa Mbeumo kuhama katikati, kubadilisha winga, au kushuka hadi kiungo utafaa zaidi huyu kiraka Harakati zake ni hatari sana kwa mabeki wa timu pinzani.
20250719_134138.jpg
 
Ufanisi kwenye wafungaji wa daraja la juu sana na hana tofauti na Salah.
e ni mchezaji mwenye kasi , anayejituma sana na mwenye kuwajibika, anakiwasha kwenye winga ya kulia au kati ya uwanja—nafasi anayoweza kucheza kama yake, kama alivyo Mo Salah.
20250719_134007.jpg
picha_frem-20250719-0001.jpg
 
Mshambuliaji hata akiwa nje ya boksi Umaliziaji Mbeumo anapigana mashuti. Alifunga magoli 9 kwa mashuti ya mbali (mid-range) msimu wa 2024/25, akiongoza Ligi Kuu ya England. Uwezo huu wa kufunga kutoka nje ya boksi unaipa safu ya mashambulizi ya Manchester United sura mpya na huwafanya mabeki washindwe kutabiri atakayofanya.
azama_mashango-20250719-0001.jpg
View attachment 3410973
 
BREAKING: Barcelona are advancing on a deal to sign Marcus Rashford from Manchester United. Offer via intermediaries is a loan plus buy option. United have agreed, the deal is not done but in the final stages.
 
Back
Top Bottom