Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,145
- 4,292
Tulisha waambia njooni na 70 tuwape straika la mabao profesa nicolaus jackson steka la magoli teka linawafaa sana hapo matofalini acheni luteseka wakati kuna streka la kuwapa ubIngwa kwa bei fear kabisa 70M tuu mnafeli wapi??Huyu Omar Berrada ndiye yule alikuwa pale City au tumeuziwa clone yake!
Tunajadili deal la Mbeumo miezi 2 na bado tutaishia kumnunua kwa bei wanayotaka Brentford,
Hapo manyumbu hakuna mkata umeme wa kumuweka lavia bench hakuna winga teleza inayoweza cheza na namba zote hapo mbele 7 9 na 11 zaidi ya HON CHRISTOPHER NKUKU Njoeni na 70 tuwape ama njooni na 135 tuwape nkuku na jackson