Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tangu kuondoka Sr Alex Ferguson usajil wangu bora ni
1.Bruno
2. Mbeumo
3.Cuhna
United tumekuwa tukifanya sajilo za hovyo muda mwingi tukidhani tatizo letu ni viungo na mabeki ila kiukweli tatizo letu Sugu lilikuwa kwenye umaliziaji. Ile safu ya mbele ilikuwa haina uwezo na creativity na ndio maana mastraiker wakubwa walikuja wakafail ila wakienda kwingine wanaperform.

Zaidi ya misimu kumi tumekuwa tukimaliza ligi na goli difference ya chini ya kumi au negative. Kwa uwezo wa ufungaji wa Bruno, Cuhna, Mbeumo na Amad tutavuna magoli mengi sana msimu ujao. Sisi hatakiwa wabovu sana kwenye ulinzi ndio maana kuna misimu unakuta kipa wetu yupo top three ya cleansheet ila tunaangushwa na washambuliaji, tofauti yetu na Liver na Man city ni kwamba wao wanafungwa ila washambuliaji wao wanafunga magilo mengi mno.
 
0-0 Man U ni ile ile na vilio vitakua endelevu
Tuna safari ndefu sana sema mie nashukuru hatushiriki mashindano makubwa kama UEFA msimu ujao maana tungezalilika sana, hivyo ni bora msimu ujao tuwepo tu kwenye ligi,FA na carabao. Amorim atapata mda mzuri wa kusuka kikosi chetu ila tunahitaji sana striker na kipa kwanza.
 
Hatuna kiungo mkabaji🙌
Tuna safari ndefu sana sema mie nashukuru hatushiriki mashindano makubwa kama UEFA msimu ujao maana tungezalilika sana, hivyo ni bora msimu ujao tuwepo tu kwenye ligi,FA na carabao. Amorim atapata mda mzuri wa kusuka kikosi chetu ila tunahitaji sana striker na kipa kwanza.
 
Hatuna kiungo mkabaji🙌
Ni kweli kabisa lakin striker na kipa ni muhimu sana kwa sasa, tukipata kiungo mkabaji afu kipa onana what do you except, kumbuk na (ffp) wanatuangalia ndio maana kwa mbeumo tunalipa 4 installments hivyo ni lazima tuanze ligi tukiwa tumeziba vilaka sehemu muhimu kwanza.
 
🔵🔴 BREAKING: Marcus Rashford to Barcelona, here we go! 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Verbal agreement in principle between all parties involved with Barça planning for medical tests next days.

Loan deal with buy option, details being finalised today then Man Utd will authorize his travel to Spain. ✈️
 
Hakuna mchezaji wa Chelsea wala Arsenal aliyefunga magoli mengi kuliko Bryan Mbeumo msimu uliopita!
20250720_005723.jpg
20250720_005443.jpg
 
Bado namba 1 na namba 9.

Sijajua kuhusu kiungo namba 6 waliopo kama hawatatuangusha
Gyo anaitaka arsenal lakin yenyewe haimtaki ...sababu kama wangekua na Nia kweli wangeonesha ushirikiano na kuongeza hela..hii dharau Sasa...kwanini asije tu man u
...
 
Gyo anaitaka arsenal lakin yenyewe haimtaki ...sababu kama wangekua na Nia kweli wangeonesha ushirikiano na kuongeza hela..hii dharau Sasa...kwanini asije tu man u
...
Mie naona hata arsenal wakimtosa asije kwetu, sababu huwezi kumlazimisha mchezaji ambae hataki kuja club yenu.
 
Back
Top Bottom