christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Tangu kuondoka Sr Alex Ferguson usajil wangu bora ni
1.Bruno
2. Mbeumo
3.Cuhna
United tumekuwa tukifanya sajilo za hovyo muda mwingi tukidhani tatizo letu ni viungo na mabeki ila kiukweli tatizo letu Sugu lilikuwa kwenye umaliziaji. Ile safu ya mbele ilikuwa haina uwezo na creativity na ndio maana mastraiker wakubwa walikuja wakafail ila wakienda kwingine wanaperform.
Zaidi ya misimu kumi tumekuwa tukimaliza ligi na goli difference ya chini ya kumi au negative. Kwa uwezo wa ufungaji wa Bruno, Cuhna, Mbeumo na Amad tutavuna magoli mengi sana msimu ujao. Sisi hatakiwa wabovu sana kwenye ulinzi ndio maana kuna misimu unakuta kipa wetu yupo top three ya cleansheet ila tunaangushwa na washambuliaji, tofauti yetu na Liver na Man city ni kwamba wao wanafungwa ila washambuliaji wao wanafunga magilo mengi mno.
1.Bruno
2. Mbeumo
3.Cuhna
United tumekuwa tukifanya sajilo za hovyo muda mwingi tukidhani tatizo letu ni viungo na mabeki ila kiukweli tatizo letu Sugu lilikuwa kwenye umaliziaji. Ile safu ya mbele ilikuwa haina uwezo na creativity na ndio maana mastraiker wakubwa walikuja wakafail ila wakienda kwingine wanaperform.
Zaidi ya misimu kumi tumekuwa tukimaliza ligi na goli difference ya chini ya kumi au negative. Kwa uwezo wa ufungaji wa Bruno, Cuhna, Mbeumo na Amad tutavuna magoli mengi sana msimu ujao. Sisi hatakiwa wabovu sana kwenye ulinzi ndio maana kuna misimu unakuta kipa wetu yupo top three ya cleansheet ila tunaangushwa na washambuliaji, tofauti yetu na Liver na Man city ni kwamba wao wanafungwa ila washambuliaji wao wanafunga magilo mengi mno.