Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Katika karne hii kuwa na wachezaji kama
Mount, Shaw, Dorgu, Lindelof, Onana, Mazroui, Ugarte, Zirkzee, Amad, Bayindir, Heaton, Dalot, halafu kocha bishoo hii ni aibu kubwa sana.
 
min -me
Wee meku, njoo hapa unijibu, nilikuambiajeee?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ coca anafanyaa maajabu ktk utabiri, anazidi kuwashangaza waja. Lol
 
Katika karne hii kuwa na wachezaji kama
Mount, Shaw, Dorgu, Lindelof, Onana, Mazroui, Ugarte, Zirkzee, Amad, Bayindir, Heaton, Dalot, halafu kocha bishoo hii ni aibu kubwa sana.
Hawa wachezaji ukimpata mtu km Ancelotti anawafanya CR7 shida ni watu wanaowaongoza,angalia Al Ahly wachezaji wao wa kawaida sn lakini makocha wao wanambinu sn zakushinda makombe
 
Nimesikitika mno

Beki wa tatu nyuma wakati timu pinzani inakabia nusu uwanja na unatafuta goli.

Man U imeoza kila angle.
 
Wakat ule tunasema timu wapewe yule mwarabu ambaye kiuhalisia ni shabiki wa kutupwa wa hii timu mkamuona mavi ,,,mkaleta uingereza wa kipumbavu, na zaidi mashabiki nao ni mapalamanga mambuzi tu hata wao wamechangia kwa kias kikubwa na wanawalewa Hawa mavi viongozi
 
Anzisha timu Yako umpe huyo mwarabu acha kubwekabweka hovyo kwenye Mali za wanaume
 
Hii timu isha jifia imebaki jina tu kubalini ukwel msiishi kwa matumaini, timu bado ina mchezaji kama evans toka enzi za fergie πŸ˜‚
 
geti la nyuma limewaponza 😁😁😁😁😁😁mtoto wa john kalifunga
 

Attachments

  • Screenshot_20250522-112433.png
    128.7 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…