Ulienda Brighton, ukarudi huku. Je utarudi tena Brighton kabla msimu haujaisha?Huu ndiyo ungekuwa msimu wa 2022/23 United kule chini angeshuka daraja, maana kwenye relegation battle watu wangeshikana mashati. Msimu huu kule chini wote wabovu kwelikweli.
Nilienda Brighton ili ku-enjoy football sasa na wao wakaanza kuzingua tena.Ulienda Brighton, ukarudi huku. Je utarudi tena Brighton kabla msimu haujaisha?
Kama ni kuenjoy football si Ze Ganaz tulikuwepo? Au hata Mijusi milia kina Labyrinth 84 wangekupa matumaini kuliko sisi? Ungekuwa na Carabao saivi na wewe.Nilienda Brighton ili ku-enjoy football sasa na wao wakaanza kuzingua tena.
Wew mwehu kweli tulimtimua shaulini monk ten hag kwasababu timu ili mzidi uwezo, ijapokua alijitahidi kubeba ndoo.Fainali angepewa upara bwana ten hag ilikuwa shetan anabeba ndoo
Yule angeweka wachezaji kumi nyuma mbele anamuacha bruno tu😁
Ukiangalia spurs ina wababa sio poa sasa vichezaji vingi vya manchester ni kilo 40 kushuka chini😅😅
Watapigwa msako sio poa
Kwa uwezo huu hatuambulii kituTatizo ni Amorim au wachezaji wetu hawana uwezo wa kutoshana nguvu na timu za Premier league.
Tottenham hotspurs tutaweza?
Msimu huu wametufunga mechi 3 na tuna muda mrefu hatujawafunga.
Ila amorin ninamuona uwezo ndogo mnoWew mwehu kweli tulimtimua shaulini monk ten hag kwasababu timu ili mzidi uwezo, ijapokua alijitahidi kubeba ndoo.
Kwa aina hio ya wachezaji unataka afanyaje man?Il
Ila amorin ninamuona uwezo ndogo mno