Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu ndiyo ungekuwa msimu wa 2022/23 United kule chini angeshuka daraja, maana kwenye relegation battle watu wangeshikana mashati. Msimu huu kule chini wote wabovu kwelikweli.
Ulienda Brighton, ukarudi huku. Je utarudi tena Brighton kabla msimu haujaisha?
 
Muendelee kupigwa hivi hivi mpaka msimu ujao. Uwanja mpya wa watu laki moja mtajenga na mtakuwa mnacheza bila mashabiki.
 
Kweli Man Utd na ndugu yake Tottenham hawajaonewa kuwa majirani kuanzia Ligi hadi Europa. Kweli ndege fanananioa....
 
Tatizo ni Amorim au wachezaji wetu hawana uwezo wa kutoshana nguvu na timu za Premier league.

Tottenham hotspurs tutaweza?
Msimu huu wametufunga mechi 3 na tuna muda mrefu hatujawafunga.
 
Tupo kwenye mode ya ku survive tu, tuna uhakika wa kubaki ligi kuu, imagine jinsi tulivyofilisika Hadi akili tuna furahi kubaki ligi kuu maana msimu ulikuwa mzito sana huu.

Tusiposhinda hili kombe ni Bure kabisa, lazima tufanye jitihada tulichukue.
 
Kuna Manchester United ya Europa league na Manchester United ya ENglish Premier league, ni vitu viwili tofauti kabisa kiuchezaji na matokeo.
Europa ni unbeaten hadi tunafika fainali, EPL kila timu inajifunzia mbinu mpya kwetu na matokeo yanaonekana.
 
Kwenye epl tulishamaliza msimu sawa na liverpool...izi mechi zilizobaki tunakamilisha ratiba tu
 
Kwahiyo mechi inayofata ni Mtu wa 5 kutoka juu, na mtu wa 5 kutoka chini?🤭
Screenshot_20250512_123729_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom