MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,902
- 24,165
Hii mechi ni ngumu sana kwetu ila sio kesi itoshe kusema kuwa una roho mbaya sana nduguHii game West Ham washinde. Niliwatakia nyie mmalize nafasi ya 17, tena mpone kuwa 18 kwa goal difference tu, ili muwe na wakati mgumu wa kuponea chupuchupu kushuka daraja. Ila mmepona kwa points nyingi tu kuliko nilivyotaka lakini mpango mzima ni mmalize wa 17 halafu somehow pia mshinde Europa mje kule Champions League muwe mnagawa points 3 kwa kila mtayekutana nae.