


Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.
Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted.
Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....