Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona š‘š€ alienda kung'aka Half Time plus kugawa makonde kwa anakina Garna Maana hiyo BandagešŸ¤•šŸ¤”āœ˜.
IMG_20250509_081939_382.jpg
 
Ruben Amorim becomes the 2nd youngest manager ever to reach a European final. 🤯

#š™š™§š™Ŗš™Øš™©š™š™š™šš™‹š™§š™¤š™˜š™šš™Øš™Øš‘š€šŸ‡µšŸ‡¹
#š™š™£š™žš™©š™šš™™š™›š™¤š™§š™©š™š™šš™š™–š™£š™Øš“€ƒ
#š™‚š™”š™–š™Æš™šš™§š™Šš™š™āž©
#š™‚š™‚š™ˆš™šŸ’ŖšŸæšŸ˜¶


šŒššš§ š”š­š |

IMG_20250509_082008_915.jpg
 
Ā£52M looking like a bargain! šŸ˜.

#š™š™§š™Ŗš™Øš™©š™š™š™šš™‹š™§š™¤š™˜š™šš™Øš™Øš‘š€šŸ‡µšŸ‡¹
#š™š™£š™žš™©š™šš™™š™›š™¤š™§š™©š™š™šš™š™–š™£š™Øš“€ƒ
#š™‚š™”š™–š™Æš™šš™§š™Šš™š™āž©
#š™‚š™‚š™ˆš™šŸ’ŖšŸæšŸ˜¶


šŒššš§ š”š­š |
IMG_20250509_082015_689.jpg
 
šŸ† If United and Betis win their respective finals, Antony will become the first ever double European champion in the same season!

🐐 for a reason 😁.

#š™š™§š™Ŗš™Øš™©š™š™š™šš™‹š™§š™¤š™˜š™šš™Øš™Øš‘š€šŸ‡µšŸ‡¹
#š™š™£š™žš™©š™šš™™š™›š™¤š™§š™©š™š™šš™š™–š™£š™Øš“€ƒ
#š™‚š™”š™–š™Æš™šš™§š™Šš™š™āž©
#š™‚š™‚š™ˆš™šŸ’ŖšŸæšŸ˜¶


šŒššš§ š”š­š |
IMG_20250509_082043_033.jpg
 
Casemiro across the two games vs. Athletic Club:

84% pass accuracy
20 passes into the final third
13 tackles attempted
11 tackles won
2 goals

Unbelievable. 🧱

#š™š™§š™Ŗš™Øš™©š™š™š™šš™‹š™§š™¤š™˜š™šš™Øš™Øš‘š€šŸ‡µšŸ‡¹
#š™š™£š™žš™©š™šš™™š™›š™¤š™§š™©š™š™šš™š™–š™£š™Øš“€ƒ
#š™‚š™”š™–š™Æš™šš™§š™Šš™š™āž©
#š™‚š™‚š™ˆš™šŸ’ŖšŸæšŸ˜¶


šŒššš§ š”š­š |
IMG_20250509_081947_361.jpg
 
Ā£52M looking like a bargain! šŸ˜.

#š™š™§š™Ŗš™Øš™©š™š™š™šš™‹š™§š™¤š™˜š™šš™Øš™Øš‘š€šŸ‡µšŸ‡¹
#š™š™£š™žš™©š™šš™™š™›š™¤š™§š™©š™š™šš™š™–š™£š™Øš“€ƒ
#š™‚š™”š™–š™Æš™šš™§š™Šš™š™āž©
#š™‚š™‚š™ˆš™šŸ’ŖšŸæšŸ˜¶


šŒššš§ š”š­š |
View attachment 3328531
rolls royce
 
Nasikia napoli na chelsea wanamtaka ganacho, ushauri wangu siku jamaa kama wataweka pesa nzuri man utd wapite nayo tu, pesa yake aletwe mchezaji killer mbele ya goli
Aletwe nani killer kuliko Garnacho ?
 
Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.

Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted player.

Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....
 
Kusema kweli mie sikupenda kukutana na Spurs fainali, anatuonea sana mechi za hivi karibuni.
Na nikikumbuka kauli ya kocha wao Ange kuwa huwa anashinda vikombe kuanzia msimu wa pili, nakata tamaa na hiyo fainali.
Anyway, vyovyote itakavyokuwa, tumefurahi Arsenal hawachezi fainali ya UCL msimu huu.
 
Ukiangalia ukuta wetu, kiungo chetu na safu yetu ya ushambuliaji ukajilinganisha na Spurs, unashindwa kujua tutafanya lipi la maana kumzuia asichukue ubingwa wa Europa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.

Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted.

Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....
Uwezo wa kumfunga Spars nyie hamna, siku hiyo mkifungwa chache goli 4.
 
Back
Top Bottom