Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,935
- 15,625
betis fainali -- antony goli na assist-- huyu asepe asije rudi kule akapotea tena 🤣Man u wamesema kama wanataka wabaki walete hela no loan tena...
betis fainali -- antony goli na assist-- huyu asepe asije rudi kule akapotea tena 🤣Man u wamesema kama wanataka wabaki walete hela no loan tena...
Kwamba Tutalia 𝐓𝐀𝐊𝐄 𝐌𝐄 𝐇𝐎𝐌𝐄 🤗😃🤣.Haina jinsi Bora wakafie uwanjani hiyo siku, wakijikaza kweli Spurs wanakufa, wakiamua wanachukua Hilo kombe lakini wakijifanya wanataka "Soni-mombo" basi tutalia. Take me home.
Gunacho ameyeyusha sana, tangu mwanzo ilipaswa Amad awe ameanza
Garnacho ni umakini anakosa, anakuwa na wenge lakin still ni mchezaji mzuriNasikia napoli na chelsea wanamtaka ganacho, ushauri wangu siku jamaa kama wataweka pesa nzuri man utd wapite nayo tu, pesa yake aletwe mchezaji killer mbele ya goli
rolls royce£52M looking like a bargain! 😍.
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶
𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
View attachment 3328531
Aletwe nani killer kuliko Garnacho ?Nasikia napoli na chelsea wanamtaka ganacho, ushauri wangu siku jamaa kama wataweka pesa nzuri man utd wapite nayo tu, pesa yake aletwe mchezaji killer mbele ya goli
Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?


Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.Poleni sana kwa vituko vyenu vya wait for next season.Punda kabisa
Asante ila punda kabisaPoleni sana kwa vituko vyenu vya wait for next season.
Nani anajali sasa, maana hatutakubali kufungwa mara ya 4 tena.Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?