Kwa Wachezaji wapi mkuu😂Mission ilikuwa kutoshuka daraja msimu huu, msimu ujao tunabeba ndoo kama Pep akiwa bado hajajipata.
Arsenal huwa sioni athari yao kwenye kupambania kombe la EPL.
Tutoe ARSENAL hapo kwenye kufika nusu fainali. Tangu msimu uliopita ambao tuliishia robo, tulijua kabisa msimu huu hatutoki chini ya nusu fainali, na lengo letu kuu ni kulibeba hili kombe ili liwe kombe letu la pili UEFA.Niamini mimi, mpinzani wetu mkuu kwenye mbio za ubingwa atakuwa city. Hao wengine watakuwa timu za kawaida sana.
Liverpool ni timu ambayo mazingira yake ya uchukuaji kombe msimu huu hata wao hawajui nini kimetokea!
Ni kama arsenal walivyopata shock baada ya kujikuta wako nusu fainali ya UCL msimu huu. Hawajui wamefikaje hapo.
Kama unafuatilia historia za mpira wa miguu vizuri, makocha wanaoanza vibaya kwenye club zao mpya, huja kuwa tishio sana wakipewa muda.Huna akili wewe kama unaitoa Liverpool kwenye ubingwa na kuiweka hiyo timu Yako mbovu isiyo na uhakika wa kushika hata top 6
Mkikomaa mnaweza maana nimewatizama inter jana na barca juzi, wamenipa mfadhaiko sana kwa uchezaji ule, saka atakuwa mvp siku ya fainali.Tutoe ARSENAL hapo kwenye kufika nusu fainali. Tangu msimu uliopita ambao tuliishia robo, tulijua kabisa msimu huu hatutoki chini ya nusu fainali, na lengo letu kuu ni kulibeba hili kombe ili liwe kombe letu la pili UEFA.
Tukishinda tutataniwa kuwa tuna UCL moja tu.Mkikomaa mnaweza maana nimewatizama inter jana na barca juzi, wamenipa mfadhaiko sana kwa uchezaji ule, saka atakuwa mvp siku ya fainali.
Sijui tutawatania akina nani mkibeba UEFA!
We akili huna mbona husemi bingwa mtetezi kihistoria hua anapewa nafasi kubwa kubeba tena kombe ila wewe ulivyokua huna akili unamtoa bingwa mtetezi kwenye mbio za ubingwa hata mechi Moja ya ligi haiajaanza kweli nyumbu akili hawanaKama unafuatilia historia za mpira wa miguu vizuri, makocha wanaoanza vibaya kwenye club zao mpya, huja kuwa tishio sana wakipewa muda.
Arsenal hawezi kushinda UEFA Hilo toa akilini psg tu hujamtoa unawaza kushinda uefa yaani akili Yako inakutuma upo fainal eti eehTukishinda tutataniwa kuwa tuna UCL moja tu.
Kweli mfano lampard kaisaidia mpk timu yake kuchukua eplKama unafuatilia historia za mpira wa miguu vizuri, makocha wanaoanza vibaya kwenye club zao mpya, huja kuwa tishio sana wakipewa muda.