Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwahiyo Liverpool yeye msimu ujao hawazi ubingwa
Niamini mimi, mpinzani wetu mkuu kwenye mbio za ubingwa atakuwa city. Hao wengine watakuwa timu za kawaida sana.
Liverpool ni timu ambayo mazingira yake ya uchukuaji kombe msimu huu hata wao hawajui nini kimetokea!
Ni kama arsenal walivyopata shock baada ya kujikuta wako nusu fainali ya UCL msimu huu. Hawajui wamefikaje hapo.
 
Niamini mimi, mpinzani wetu mkuu kwenye mbio za ubingwa atakuwa city. Hao wengine watakuwa timu za kawaida sana.
Liverpool ni timu ambayo mazingira yake ya uchukuaji kombe msimu huu hata wao hawajui nini kimetokea!
Ni kama arsenal walivyopata shock baada ya kujikuta wako nusu fainali ya UCL msimu huu. Hawajui wamefikaje hapo.
Huna akili wewe kama unaitoa Liverpool kwenye ubingwa na kuiweka hiyo timu Yako mbovu isiyo na uhakika wa kushika hata top 6
 
Unaambiwa hakika Ruben ameshinda mechi 6 tu za ligi tangu afike. Katika hizo mechi 6 mechi 3 alifunga hizi timu zinazoshuka daraja
 
Screenshot_2025-04-21-13-46-58-000_com.twitter.android-edit.jpg
 
Niamini mimi, mpinzani wetu mkuu kwenye mbio za ubingwa atakuwa city. Hao wengine watakuwa timu za kawaida sana.
Liverpool ni timu ambayo mazingira yake ya uchukuaji kombe msimu huu hata wao hawajui nini kimetokea!
Ni kama arsenal walivyopata shock baada ya kujikuta wako nusu fainali ya UCL msimu huu. Hawajui wamefikaje hapo.
Tutoe ARSENAL hapo kwenye kufika nusu fainali. Tangu msimu uliopita ambao tuliishia robo, tulijua kabisa msimu huu hatutoki chini ya nusu fainali, na lengo letu kuu ni kulibeba hili kombe ili liwe kombe letu la pili UEFA.
 
Huna akili wewe kama unaitoa Liverpool kwenye ubingwa na kuiweka hiyo timu Yako mbovu isiyo na uhakika wa kushika hata top 6
Kama unafuatilia historia za mpira wa miguu vizuri, makocha wanaoanza vibaya kwenye club zao mpya, huja kuwa tishio sana wakipewa muda.
 
Tutoe ARSENAL hapo kwenye kufika nusu fainali. Tangu msimu uliopita ambao tuliishia robo, tulijua kabisa msimu huu hatutoki chini ya nusu fainali, na lengo letu kuu ni kulibeba hili kombe ili liwe kombe letu la pili UEFA.
Mkikomaa mnaweza maana nimewatizama inter jana na barca juzi, wamenipa mfadhaiko sana kwa uchezaji ule, saka atakuwa mvp siku ya fainali.
Sijui tutawatania akina nani mkibeba UEFA!
 
Kama unafuatilia historia za mpira wa miguu vizuri, makocha wanaoanza vibaya kwenye club zao mpya, huja kuwa tishio sana wakipewa muda.
We akili huna mbona husemi bingwa mtetezi kihistoria hua anapewa nafasi kubwa kubeba tena kombe ila wewe ulivyokua huna akili unamtoa bingwa mtetezi kwenye mbio za ubingwa hata mechi Moja ya ligi haiajaanza kweli nyumbu akili hawana
 
Madrid kastruggle kishenzi dhidi ya Bilbao.

Hapo wana Bellingham, Vinicius, Rodrygo.

Wewe unaenda pale na Maguire Kobbie na Bruno.

Na Madrid kastruggle hivyo huku Bilbao wakiwa wamepumzisha starters wao 10.

Punda kabisa
 
Back
Top Bottom