Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilipokua naangalia mpira baada ya penati ya lacazete watu wakaanza kuondoka. Mimi bado nilikua nina matumaini ya comeback sababu jamaa walikua pungufu hata mainoo alivyochomoa nikamwambia mshkaji man u atapambana kupata goli 5 maana pale golini kwake kipa onana wakienda matuta hawatoboi. Faida ya kuwa na wakongwe imeonekana Bruno, maguire na casemiro waliamua kulibeba jukumu wao wenyewe
Onana kwenye mechi zilizoishia kuamiliwa na matuta zote hajaonyesha huo Uwezo UNAoTAKA kutuambia hapa vs Fulham FA, community shield na man city, ile mnawatoa arsenal alidaka kipa mturuki ertugul beyindir bey😂
 
Aiseee

 
Hivi hii timu kwa mwenendo huu si itashuka daraja!
Haiwezekani kwa njia yoyote hata tufungwe mechi zote zilizobaki. Yule wa 17 kwenye msimamo Ipswich jana Arse8 katusaidia kumpiga kwa hiyo sasa tumemuacha point 17 na zimebaki mechi 4 zenye jumla ya point 12.
 
Huu muda, wachambuzi wa kibongo ndo wanaanza uchambuzi wa kimataifa hasa ligi ya Uingereza, wakuu msikae mbali na radio zenu 🔥
 
Ni jambo la kushukuru, chama la kina Vipipi lipo safe kutokana na kushuka daraja.
 
Mission ilikuwa kutoshuka daraja msimu huu, msimu ujao tunabeba ndoo kama Pep akiwa bado hajajipata.

Arsenal huwa sioni athari yao kwenye kupambania kombe la EPL.
Kwahiyo Liverpool yeye msimu ujao hawazi ubingwa
 
Kwahiyo Liverpool yeye msimu ujao hawazi ubingwa
Niamini mimi, mpinzani wetu mkuu kwenye mbio za ubingwa atakuwa city. Hao wengine watakuwa timu za kawaida sana.
Liverpool ni timu ambayo mazingira yake ya uchukuaji kombe msimu huu hata wao hawajui nini kimetokea!
Ni kama arsenal walivyopata shock baada ya kujikuta wako nusu fainali ya UCL msimu huu. Hawajui wamefikaje hapo.
 
Niamini mimi, mpinzani wetu mkuu kwenye mbio za ubingwa atakuwa city. Hao wengine watakuwa timu za kawaida sana.
Liverpool ni timu ambayo mazingira yake ya uchukuaji kombe msimu huu hata wao hawajui nini kimetokea!
Ni kama arsenal walivyopata shock baada ya kujikuta wako nusu fainali ya UCL msimu huu. Hawajui wamefikaje hapo.
Huna akili wewe kama unaitoa Liverpool kwenye ubingwa na kuiweka hiyo timu Yako mbovu isiyo na uhakika wa kushika hata top 6
 
Back
Top Bottom