fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Arsenal ni wapaki bus wazuri tu ila wamebadilisha jina wakiwa kwenye hiyo mode wanajiita HARAM FOOTBALL.Lini umeona mashabiki wanasema Arteta out? 🤣🤣
Lini umeona Arsenal inafungwa? 🤣🤣🤣
Arsenal ni wapaki bus wazuri tu ila wamebadilisha jina wakiwa kwenye hiyo mode wanajiita HARAM FOOTBALL.Lini umeona mashabiki wanasema Arteta out? 🤣🤣
Lini umeona Arsenal inafungwa? 🤣🤣🤣
Ndiyo. Tushapaki basi against city wakalalamika sana. Nadhani msimu uliopita.Arsenal ni wapaki bus wazuri tu ila wamebadilisha jina wakiwa kwenye hiyo mode wanajiita HARAM FOOTBALL.
Mkuu sisi hilo hatujui kwani arsenal walikuwa na plan ya kufika semis ya UCL au kuchukua epl?Kwa kikosi kipi kaka??
Sawa mzeeUtoto unakasumbua....
Nipo kaka, sema huwa nachungulia tu.Umepotea sana mkuu
Ndio mashabiki wa arse8 hawa..yaani wameshasahau. Wanapelekwa msimu mwingine na mwingine na mwingine wanatoka mikono mitupu. Shida kubwa ya hawa mashabiki nadhani ni kusahau sahau.Lini umeona mashabiki wanasema Arteta out? 🤣🤣
Lini umeona Arsenal inafungwa? 🤣🤣🤣
Kocha mjinga sana huyu. Mazraiui alichemka sana game ya uefa ikabidi atolewe. Wale wakali wote walichez akwa kiwango cha 100% kawaweka benchi. Ni kiburi au haijui vizuri ligi ya uingereza? Uingereza hakuna timu ndogo. Leo tena tunacheza tumeshika pumbu na panadol ziko pembeni.
punguza mapovu mchezo huu hauhitaji hasiraKocha mjinga sana huyu. Mazraiui alichemka sana game ya uefa ikabidi atolewe. Wale wakali wote walichez akwa kiwango cha 100% kawaweka benchi. Ni kiburi au haijui vizuri ligi ya uingereza? Uingereza hakuna timu ndogo. Leo tena tunacheza tumeshika pumbu na panadol ziko pembeni.View attachment 3310252
Kusahau ni sifa ya nyumbuNdio mashabiki wa arse8 hawa..yaani wameshasahau. Wanapelekwa msimu mwingine na mwingine na mwingine wanatoka mikono mitupu. Shida kubwa ya hawa mashabiki nadhani ni kusahau sahau.
Unamjua CUNHA wewe.punguza mapovu mchezo huu hauhitaji hasira
yule thug 🤣Unamjua CUNHA wewe.
Onana asipopigwa hata kimoja haridhikiyule thug 🤣
freekick makin 🤣 mckenna kaniuzaOnana asipopigwa hata kimoja haridhiki