Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game ya Man utd v Lyon ilikuwa classic, maana dakika 180 zimetoa goli 13!
What a match!
 
Arsenal ni wapaki bus wazuri tu ila wamebadilisha jina wakiwa kwenye hiyo mode wanajiita HARAM FOOTBALL.
Ndiyo. Tushapaki basi against city wakalalamika sana. Nadhani msimu uliopita.

Sikumbuki mwingine aliyekutana na Arsenal halafu tukapaki basi
 
Kama nawaona wenye timu yenu mlivo na shangwe, hivi yule jamaa aliyeweka ahadi ya kuacha nywele hadi mshinde game 5 mfululizo kafikia wapi? Anyways mjoin channel hii mazee contents kali sana za futiboli kwa ujumla

Follow the Pinkie Football Universe channel on WhatsApp: Pinkie Football Universe | WhatsApp Channel
 
😁
IMG_20250420_144852_156.jpg
 
Lini umeona mashabiki wanasema Arteta out? 🤣🤣

Lini umeona Arsenal inafungwa? 🤣🤣🤣
Ndio mashabiki wa arse8 hawa..yaani wameshasahau. Wanapelekwa msimu mwingine na mwingine na mwingine wanatoka mikono mitupu. Shida kubwa ya hawa mashabiki nadhani ni kusahau sahau.
 
Kocha mjinga sana huyu. Mazraiui alichemka sana game ya uefa ikabidi atolewe. Wale wakali wote walichez akwa kiwango cha 100% kawaweka benchi. Ni kiburi au haijui vizuri ligi ya uingereza? Uingereza hakuna timu ndogo. Leo tena tunacheza tumeshika pumbu na panadol ziko pembeni.
1000616791.jpg
 
Kocha mjinga sana huyu. Mazraiui alichemka sana game ya uefa ikabidi atolewe. Wale wakali wote walichez akwa kiwango cha 100% kawaweka benchi. Ni kiburi au haijui vizuri ligi ya uingereza? Uingereza hakuna timu ndogo. Leo tena tunacheza tumeshika pumbu na panadol ziko pembeni.View attachment 3310252
punguza mapovu mchezo huu hauhitaji hasira
 
Ndio mashabiki wa arse8 hawa..yaani wameshasahau. Wanapelekwa msimu mwingine na mwingine na mwingine wanatoka mikono mitupu. Shida kubwa ya hawa mashabiki nadhani ni kusahau sahau.
Kusahau ni sifa ya nyumbu
 
duh, commentator anataja record mpya hapa ya man u
 
Back
Top Bottom