Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ms*nge tu naye Ruben. Mechi ngumu kama hizi sio za kumuacha beki kisiki kama Maguire. Yaani Lindelof aliyeoza ndio anamuweka benchi Maguire?
Siku zote Maguire akiwa fit halafu akaanzia benchi najisikia vibaya sana
 
Both teams were shit but United showed heart and kept believing to the end.

Kwa channel niliyokua naangalia mpira mtangazaji alikua anasisitiza jinsi gani united kutolewa ingemaanisha a blow kwenye finance.

Ilikua kama vile wanasikia hawa jamaa. They kept going.
Nilipokua naangalia mpira baada ya penati ya lacazete watu wakaanza kuondoka. Mimi bado nilikua nina matumaini ya comeback sababu jamaa walikua pungufu hata mainoo alivyochomoa nikamwambia mshkaji man u atapambana kupata goli 5 maana pale golini kwake kipa onana wakienda matuta hawatoboi. Faida ya kuwa na wakongwe imeonekana Bruno, maguire na casemiro waliamua kulibeba jukumu wao wenyewe
 
Naenda kuchukua CL unahisi najisikiaje bwana mdogo? 😅
1000584068.jpg
 
Back
Top Bottom