Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Spurs kuchukua trophy ni tusi kwa Arsenal.

Baraka zangu nazigawa kwa Athletic na Bodo
 
Punda wa arsenal walidhani tumeisha kumbe ni namna ya kuongeza ladha na hadhi ya mechi. Hebu fikiria dakika 20 za mwanzo unafunga goli 4-0, nimeamini watu wa marketing wa man utd ni genius sana sana.

Mechi ya europa imeluwa na mvuto sana kuliko ya asanali na vilema wenzao madrid
 
😁
IMG_20250418_075231_219.jpg
 
Back
Top Bottom