mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,991
- 5,175
Takataka hiyoHatuna timu hapa
Takataka hiyoHatuna timu hapa
Naamini wakicheza na stand united ya mwanza wanaeza toka droo!Team mbovu sana.
NatimizaAlhamisi nitaangalia mechi yangu ya mwisho kwa msimu huu labda wafuzu ila kwa ligi inatosha tutakutana msimu mpya .Wacha nipumzishe moyo wangu na kudunda dakika 90 kama kitenesi.
Pole mkuu, mimi ndio maana mechi za man u mara nyingi siangalii maana unapata hasiraNi muda wa kuangalia mambo mengine sasa mpira na Mimi basi inatosha
Acha tu mkuu, ni aibu na fedheha tunapataAiseee hii Man Utd yetu msimu huu imejua kutuvua nguo mashabiki wake.
Yaani hata nguvu ya kuwasimanga Arsenyau wakiambulia patupu mwisho wa msimu haipo tena.
Hakuna mkuu Man u imeoza, hata kama tutapita ila hii timu ni jangaThis is unitedView attachment 3307771
🤣🤣🤣🤣leo kwa mara ya kwanza natukana humu Khumamae tupewe kombe letu kabisa.
Huko vibanda umiza Flano anataka kurusha ngumiView attachment 3307770


Nasema tukabidhiwe tu kombe letu kabisa kisha ndio tumalizie hizo mechi 3 zilizobaki.Tamba sana, piga kelele uwezavyo ila hali halisi ya timu yako unaijualeo kwa mara ya kwanza natukana humu Khumamae tupewe kombe letu kabisa.
Hatutoboi mkuuNasema tukabidhiwe tu kombe letu kabisa kisha ndio tumalizie hizo mechi 3 zilizobaki.
Hii mechi ilikua ni vichaa wawili wanapigana


kunywa maji kwanza mkuu, uzuri huu mchezo hua hauitaji hasira.