Hakuna mkuu Man u imeoza, hata kama tutapita ila hii timu ni jangaThis is unitedView attachment 3307771
🤣🤣🤣🤣leo kwa mara ya kwanza natukana humu Khumamae tupewe kombe letu kabisa.
Huko vibanda umiza Flano anataka kurusha ngumiView attachment 3307770


Nasema tukabidhiwe tu kombe letu kabisa kisha ndio tumalizie hizo mechi 3 zilizobaki.Tamba sana, piga kelele uwezavyo ila hali halisi ya timu yako unaijualeo kwa mara ya kwanza natukana humu Khumamae tupewe kombe letu kabisa.
Hatutoboi mkuuNasema tukabidhiwe tu kombe letu kabisa kisha ndio tumalizie hizo mechi 3 zilizobaki.
Hii mechi ilikua ni vichaa wawili wanapigana


kunywa maji kwanza mkuu, uzuri huu mchezo hua hauitaji hasira.
Mkuu mbona una hasira sana kama mshale wa kichwa umekupiga?Tamba sana, piga kelele uwezavyo ila hali halisi ya timu yako unaijua
Nico william anawasubiri
Na wametolewaIla mpira bana😃😃 kule Lazio walikuwa wanaongoza kwa uhakika kabisa eti saiz wanapumulia mashine kwenye penalty
Kwakweli kilichowakuta Lazio 😃😃 Leo watalala midomo na macho wazi
That's why I love footballNa wametolewa
Bora umegundua hilo. Ili uwe bora, ili ushinde makombe makubwa ya Ulaya (arse8 hajawahi kushinda) kuna wakati inakubidi uwe kichaa, tena kichaa kweli kweli.Hii mechi ilikua ni vichaa wawili wanapigana