Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,232
- 2,806
Mkuu mbona una hasira sana kama mshale wa kichwa umekupiga?Tamba sana, piga kelele uwezavyo ila hali halisi ya timu yako unaijua
Nico william anawasubiri
Mkuu mbona una hasira sana kama mshale wa kichwa umekupiga?Tamba sana, piga kelele uwezavyo ila hali halisi ya timu yako unaijua
Nico william anawasubiri
Na wametolewaIla mpira bana😃😃 kule Lazio walikuwa wanaongoza kwa uhakika kabisa eti saiz wanapumulia mashine kwenye penalty
Kwakweli kilichowakuta Lazio 😃😃 Leo watalala midomo na macho wazi
That's why I love footballNa wametolewa
Bora umegundua hilo. Ili uwe bora, ili ushinde makombe makubwa ya Ulaya (arse8 hajawahi kushinda) kuna wakati inakubidi uwe kichaa, tena kichaa kweli kweli.Hii mechi ilikua ni vichaa wawili wanapigana
Tamba sana, piga kelele uwezavyo ila hali halisi ya timu yako unaijua
Nico william anawasubiri


Acha na hali halisi kuna kitu inaitwa nyota au kismati cha makombe, kwa hali halisi ya hii timu ingekua Arsenyau ndio iko hivi hata kwenye hatua ya makundi tu msingetoboa. Famous 😀😀😀😀mkuu hii timu itatutoa rohoWe are the famous Man UtdView attachment 3307776
Was it necessary mentioning Arsenal 😀😀😀Bora umegundua hilo. Ili uwe bora, ili ushinde makombe makubwa ya Ulaya (arse8 hajawahi kushinda) kuna wakati inakubidi uwe kichaa, tena kichaa kweli kweli.
130!!!Kwa mbindee sana wanangu ila hongereni sana
Dk 130 sio mchezo
Mkuu mbona una hasira sana kama mshale wa kichwa umekupiga?


Ndio hapo sasa shangaa na wewe, kufungwa amefungwa Lyon lakini mashabiki wa Arsenyau ndio wanavunja vyombo kwa hasira


Kama kawaida ya mashabiki wa man u😀😀😀 kidogo tu tayari mnajipiga vifuaSioni timu ya kuizuia Manutd kubeba europa league, na tunaitaka top 4 Epl kwanzia leo
Yaani acha tu mkuu🤣Famous 😀😀😀😀mkuu hii timu itatutoa roho