Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa nafasi tulizotengeneza hii game ilikua inaisha mapema sana ndani ya dakika 20 tu za mwanzo, ni vile hakuna umakini kwenye umaliziaji, yaani mpaka HT ilitakiwa tuwe tumeshinda si chini ya goli4.
 
Kwa nafasi tulizotengeneza hii game ilikua inaisha mapema sana ndani ya dakika 20 tu za mwanzo, ni vile hakuna umakini kwenye umaliziaji, yaani mpaka HT ilitakiwa tuwe tumeshinda si chini ya goli4.
Sema kweli mkuu?
 
Hii United imejaa ungese sana. Garnacho kama anacheza peke yake. Toka Babu Fergie kaondoka hakuna mchezaji ananikera kama huyu!
 
Back
Top Bottom