Sema kweli mkuu?Kwa nafasi tulizotengeneza hii game ilikua inaisha mapema sana ndani ya dakika 20 tu za mwanzo, ni vile hakuna umakini kwenye umaliziaji, yaani mpaka HT ilitakiwa tuwe tumeshinda si chini ya goli4.
Dah! Waneridisha. Back players hakuna kitu.


Na watatuweka la 3 kama kifungashio, maana wachezaji wetu tayari wameshaswitch kwenye panic mode.