ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Kawaida yetuMnawapigia hawa mamacita pira biriani leo. Ni kama siyo nyie vile.
Kawaida yetuMnawapigia hawa mamacita pira biriani leo. Ni kama siyo nyie vile.
Sure, hana control yoyote mguuni, hawezi ku-dribble. Hovyo kabisa.Hojlund kwa kweli inabidi atupishe tu hana analosaidia uwanjani zaidi ya kukaba wenzie.
Tuliza mshono tunaanza ligi msimu ujao.Mnataka mumrudishe CR7 na Rooney na Giggs waje kucheza?
Nyie wajinga wa kila mwaka "our season" hamjambo?
Hamji kuchukua EPL tena ktk maisha yenu
Labda mliibe
Nyie ni wajinga sana
Bado hamyaogopi majogoo ya Anfield?
False hopePunda kabisa
Watani nyie kila mwaka mna anza ligi?Tuliza mshono tunaanza ligi msimu ujao.
Naona umeamua kuwafuata na huku maana nyumbu wengi washajinasibu kuwa wao ni real madrid fans😂
Nyumbuz wengi hamnazo, muda c mrefu wataamia kwa atakaefudhu kati ya psg au villaNaona umeamua kuwafuata na huku maana nyumbu wengi washajinasibu kuwa wao ni real madrid fans![]()
Beba angalau uwafikie nottingham.Nyumbuz wengi hamnazo, muda c mrefu wataamia kwa atakaefudhu kati ya psg au villa
Ukweli ni kwamba kama wazee wa kushika mitutu kauli yetu ni moja tu TUKUTANE FAINALI
Mmeanza na tabiri zenulyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Kama siyo allypipi haitupi mwangazalyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Yule jamaa mbona ameacha kutoa utabiri wa watoto wa bwenyenye 😂lyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Dah bado hojilund yaani wanakela sanaIla Onana kuna kipindi inatakiwa afike aone aibu mwenyewe, ikiwezekana ambembeleze hata kocha awe anaanzia sub, sasa goli gani la kipuuzi namna ile?
Huu utabiri hauna uhusiano wowote na ule wa Allypipi kweli? Ngoja tuone mpk Full time kama nyie ni dugu mojalyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Washapata moja lao bado nyinyi kupata 2lyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459