King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,093
- 5,317
Dah bado hojilund yaani wanakela sanaIla Onana kuna kipindi inatakiwa afike aone aibu mwenyewe, ikiwezekana ambembeleze hata kocha awe anaanzia sub, sasa goli gani la kipuuzi namna ile?
Dah bado hojilund yaani wanakela sanaIla Onana kuna kipindi inatakiwa afike aone aibu mwenyewe, ikiwezekana ambembeleze hata kocha awe anaanzia sub, sasa goli gani la kipuuzi namna ile?
Huu utabiri hauna uhusiano wowote na ule wa Allypipi kweli? Ngoja tuone mpk Full time kama nyie ni dugu mojalyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Washapata moja lao bado nyinyi kupata 2lyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Dah bado hojilund yaani wanakela sana


Hizi takataka 2 Onana na Hojlund kocha akiendelea kuziamini msimu ujao zitamfukuzisha. Nikisema kuhusu striker wenu mnasema ooh ni mzuri haya sasa. Hata pasi inamshinda kocha nae Kuna mda anazingua sana sijui bado anampanga wa nini mara mia ampange hata Maguire namba 9 wallahi.


Kipindi cha nyuma Garnacho aliweka kamgomo flani ka kumpa Hojlund pasi, yaani alikua anaona bora arudishe mpira nyuma kuliko kuipasia hii takataka, nilikuaga namlaumu sana Garnacho ila sasa hivi naona Garna alikua sahihi kabisa, chezaji hata kutuliza mpira tu halijui unalipa pasi ya kazi gani?Ni ukweli, United ina world class players kwasababu ukilinganisha na Arsenal nitasema wana talented players + hard work + dedication + discipline + confidence.Huwezi amini wakitoka hapo wanakuambia Arsenal ina mid players ila wao wana world class players.
Hawa watu 😅😅
Utabiri wako upo vizury mpaka saivi naona unataka kuchukua nafasi ya allypipi.lyon anapigwa kama ngoma 1-2 FT
View attachment 3299459
Kwahiyo duniani hakuna kama Bruno na hakuna kama Casemiro?Ni ukweli, United ina world class players kwasababu ukilinganisha na Arsenal nitasema wana talented players + hard work + dedication + discipline + confidence.
Bruno, Casemiro, ni WCP.
Arsenal haina WCP ila haimanishii ni mid players. Kuwa WCP maana yake upo katika kundi la wachezaji bora kwa nafasi husika. Ukichukua wachezaji wa Arsenal kwa nafasi zao utakuta kuna wachezaji bora zaidi yao Duniani.
Bado tunasifia utabiri au tunalaumu 😅Utabiri wako upo vizury mpaka saivi naona unataka kuchukua nafasi ya allypipi.