Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnataka mumrudishe CR7 na Rooney na Giggs waje kucheza?
Nyie wajinga wa kila mwaka "our season" hamjambo?
Hamji kuchukua EPL tena ktk maisha yenu
Labda mliibe
Nyie ni wajinga sana
Bado hamyaogopi majogoo ya Anfield?
 
IMG-20250409-WA0010.jpg
 
Nyumbuz wengi hamnazo, muda c mrefu wataamia kwa atakaefudhu kati ya psg au villa

Ukweli ni kwamba kama wazee wa kushika mitutu kauli yetu ni moja tu TUKUTANE FAINALI
Beba angalau uwafikie nottingham.
Ndio mkae meza moja.
 
Back
Top Bottom