Sikujua kama ulitabiri dah! Ningeweka pesa.We are back again
Ni wale wale vijana wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro boys vijana wakutajika hawa wanashuka kuja kuwashika.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π π
My prediction
Nottingham forest 0 vs Manchester united 2
Tutapiga kama ngoma leoView attachment 3290393
