messanger
Senior Member
- Jul 18, 2018
- 155
- 214
Hojlund kwa kweli inabidi atupishe tu hana analosaidia uwanjani zaidi ya kukaba wenzie.
Hojlund ni Chezaji acha masihala, Sema tu timu yetu ni tia maji. Ila pale kati tukipata striker flani hivi refuu kama Weghorst, kwa style hii ya uchezaji wakija kushtuka sisi waleeeeπ₯
